makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Sasa utumishi tatizo nini miezi mitatu watu tangu mwezi wa tano hadi leo wa tisa na bado saili zinaendeleaPSRS wao wanasaidia tu ila asilimia kubwa ni chuo kufanya mchakato.
Juzi written za ORCI, walikuwepo staff wa ORCI na PSRS wakishirikiana.
Oral imefanyika ORCI ambapo wao wameiendesha, PSRS wao wanabaki na jukumu lao la kuweka placements, ila vyuo mara nyingi wao wanaweka hadi placements.
MUST, Mzumbe walishafanya hivyo miezi iliyopita
Mm nimesoma CS ,Asilimia kubwa tuliopo kwenye huu uzi tunausaka mrija wa Asali.
Fuatilia komenti zetu utajua shuhuda zetu mbalimbali za kukandwa na PSRS
Ngoja nimimi nikacheki kwe web ya taasisi ninayosubiriaHahahahahaa, OUT washaisindikiza hii siku na placement yao.
Placement ya halaiki tuzidishe maombi...
nakukumbusha ahadi ni deniHahahahahaa, OUT washaisindikiza hii siku na placement yao.
Placement ya halaiki tuzidishe maombi...
Open university wametoa placements tayar wakuu.. vijana 32 tayar wapo kwenye mzinga wa asali... hu mwezi naamini utakuwa mwema kwa walamba asali
Mwifwa HS CODE Ambiele Kiviele
Nyie NI watafuta asali ,au tayari mnalamba asali mbichi.
Maana cwaelewi
Sababu zinaweza zikawa nyingi ikiwemo.Sasa utumishi tatizo nini miezi mitatu watu tangu mwezi wa tano hadi leo wa tisa na bado saili zinaendelea
Mambo yamebadilika siku hiziHahahaa, ona na mimi hapa walivyoniambia. Wameniita shortlist 3, nafasi ni hiyo hiyo moja ingawa waajiri ni tofauti kwa nyaraka zile zile ila hapa wanasema hivi.
Pia kwenye Portal hamna sehemu ya kuattach hicho kitu.
Any way, hawa wamenichoka ingawa kutoboa kwenda oral bado ni giza neneView attachment 2351106
Laiti mzee wa Aliyeondoka asingebadili mfumo wa ajira nisingehangaika kuutafuta mrija wa Asali namna hii, ningeingia moja kwa moja baada ya kusajiliwa na kupata leseni ya kazi kutoka kwenye baraza langu la Kitaaluma.Mwifwa mbona ,Kama uko kwenye system Mzee,
Unajibu maswali in depth, informations za ndani ndani kabisa.
Ila endelea kutupa madini, hatuna namna
Hahahahaa, bado nawaza jinsi nilivyokandwa zile written 2.nakukumbusha ahadi ni deni
Tena serikali yao ya Oblongata ishaanza kuweka ABCs za namna ya kuitafuna Asali[emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha, kwamba wako kwenye mzinga wa asali.
Hata hivyo nimeamua kuachana nao maana usahili wa ile waliyonikataa ni tarehe sawa na usahili ambao hawajanikataa. Kwa hiyo nitaenda kule ambapo hawajanikataaMambo yamebadilika siku hizi
ππππ tuendelee kudumisha amani na utulivu wetu... huku tukichungulia chungulia tovutini.Siku nyingine njema imefika na ninanguvu zote za kusubili placements ya mwezi wa sita
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tena serikali yao ya Oblongata ishaanza kuweka ABCs za namna ya kuitafuna Asali[emoji3][emoji3][emoji3]
πππππpole babe,utumishi hawatabirikiHahahahaa, bado nawaza jinsi nilivyokandwa zile written 2.
Mtu wangu wa karibu aliyefika oral hata bado sijamuuliza jinsi oral ilivyofanyika, nimebaki najitathimini ivi kweli nimekuwa mdebwedo kiasi hiki.
Ahsante kwa kunikumbusha hilo.
Mungu ni mwema tuendeleze maombiSiku nyingine njema imefika na ninanguvu zote za kusubili placements ya mwezi wa sita
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sahihi basi wamekuwa hawalazi vipolo mda mrefu mambo yanazidi kuwa mengi mnoSababu zinaweza zikawa nyingi ikiwemo.
-Ukosefu wa nguvu kazi(watumishi)
-Ukosefu wa venue pindi vyuo vikiwa vinaendelea na masomo
-Kukosa support kutoka kwenye taasisi husika zlizoomba kutafutiwa wafanyakazi, hili la support vyuo wameweza kama tunavyoona wanaendesha saili zao kwa kushirikiana na PSRS.