Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Hizi zishadoda, tusubiri majaliwa MuumbaNa za mwezi wa sita jee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi zishadoda, tusubiri majaliwa MuumbaNa za mwezi wa sita jee
Hongera sana, ni zile nafasi za juzi kati(mwezi uliopita)?Wadauu inakueajeee, nimekuwa shortlisted MUHAS nina siku kama 5 sasa, cha kushangazaa
Siooni ratiba yamtihani kwny Portal
na wala sioni PDF yeyote ya shortlist UTUMISHI au Kweny website ya Chuo.
Nipo njia panda wasije wadau wakawa washapiga pepaa.View attachment 2356725
yaah hizi zilizotoka OctoberHongera sana, ni zile nafasi za juzi kati(mwezi uliopita)?
Mmmhh, Oct ipi tena? mimi nimekuuliza zlizotangazwa mwezi uliopitayaah hizi zilizotoka October
😂😂😂😂😂October gani tena wakuu??yaah hizi zilizotoka October
Mimi mwenyewe nimeshtuka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]October gani tena wakuu??
DUCE jana kulifanyika interview cha kushangaza badala ya kutoa matokeo kwenye page ya sekretarieti ya ajira wanadai walio faulu waliwapigia simu waende kwenye oral leo .nikajiuliza huu utaratibu sekretarieti wameanza lini na je kama mtu kafeli amefeli kwa kupata alama ngapi na huyu aliyefaulu amepata alama ngapi waliogopa nini kuweka pdf kama ilivyo kawaida yao?Hebu kama mtu ana connection na taasis aliyifanya oral mwezi wa sita jaribuni kuuliza uliza juu juu huko tusije kuwa tuna subiri placement kumbe hakuna kitu hicho kabisa
Mkuu,amini usiamini kuna taasisi zimeita tayari.Hebu kama mtu ana connection na taasis aliyifanya oral mwezi wa sita jaribuni kuuliza uliza juu juu huko tusije kuwa tuna subiri placement kumbe hakuna kitu hicho kabisa
Ni uhuni wa kiwango cha juu kabisa wanafanya hao jamaa.ndio maana watu wanalalamika wanavujisha paperDUCE jana kulifanyika interview cha kushangaza badala ya kutoa matokeo kwenye page ya sekretarieti ya ajira wanadai walio faulu waliwapigia simu waende kwenye oral leo .nikajiuliza huu utaratibu sekretarieti wameanza lini na je kama mtu kafeli amefeli kwa kupata alama ngapi na huyu aliyefaulu amepata alama ngapi waliogopa nini kuweka pdf kama ilivyo kawaida yao?
Sisi tulifanya mwezi wa tano kuna waliopigiwa simu na barua wamepata tyar ila placement sijawah ziona kwenye website ya Utumishi[emoji23]Hebu kama mtu ana connection na taasis aliyifanya oral mwezi wa sita jaribuni kuuliza uliza juu juu huko tusije kuwa tuna subiri placement kumbe hakuna kitu hicho kabisa
Duu, noma sana.Sisi tulifanya mwezi wa tano kuna waliopigiwa simu na barua wamepata tyar ila placement sijawah ziona kwenye website ya Utumishi[emoji23]
Ila nilishasema hapaDuu, noma sana.
Hata kama wengine ni wasindikizaji ila wanachokifanya wanazingua sana.
Michakato ifanyike kwa uwazi halafu wanamaliza mambo gizani, wanazingua sana.
Hii nchi urasimu hauwezi kuisha hata kidogo.Ila nilishasema hapa
Dah inavunja moyo sana kwa wale wanaoelekea kufanya usailiIla nilishasema hapa
August mkuu [emoji28][emoji28][emoji28]Mmmhh, Oct ipi tena? mimi nimekuuliza zlizotangazwa mwezi uliopita
Nikifikiria lile nyomi la kuanzia mwezi wa tano katika kupambania mirija ya asali halafu ngoma ifunikwe hivi hivi daahBora kila taasisi iwe inaajiri kivyake tu.