meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,353
- 2,924
Jaman tusubri tu wakuu Kama Kuna watu wamepigiwa simu basi hawa itakua labda taasis au ofisini Ilikua inataka watu watano tu jumla wa kazi zote walizotangaza ila wale wa mkeka mrefu hawezi FANYA hivyo jamani (najipa moyo hapa)🤣🤣🤣 nakupeni mfano mie nilifanya mwezi wa sita za veta aisee watu wengi walikua wanahitajika kwa maaana ya
1 carpenter
2 fundi masson
3 painter
4 mechanic
5 electricity
6 electrical
7 Computer application
8 na nk
Sasa ukipiga tatal hapo wanaweza wakafika 35 so wote hawa na connection???? Hapana siamini na kama wamepigiwa simu basi ni balaa tupu
1 carpenter
2 fundi masson
3 painter
4 mechanic
5 electricity
6 electrical
7 Computer application
8 na nk
Sasa ukipiga tatal hapo wanaweza wakafika 35 so wote hawa na connection???? Hapana siamini na kama wamepigiwa simu basi ni balaa tupu