Kwan viatu visivyo na kamba mfano kama Hivi vina tatizo mkuu ?Vaa casual
Epuka kuvaa tofauti na watumishi wa Umma , vaaa shati , suruali kiatu Cha kamba kizuri
Chana nywele , au vaa baragashia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan viatu visivyo na kamba mfano kama Hivi vina tatizo mkuu ?Vaa casual
Epuka kuvaa tofauti na watumishi wa Umma , vaaa shati , suruali kiatu Cha kamba kizuri
Chana nywele , au vaa baragashia
Nmeitwa kaka, Wizy atakuwa kapata mchumba[emoji23]Hahahahaaa.
Umeitwa na TRA pia kwa hiyo post? (Au ni namna ya kutujulia hali hapa maana tuna majonzi ya kumpoteza wizy tangu juzi)
Nikikua nataka kuwa km wewe prokNmeitwa kaka, Wizy atakuwa kapata mchumba[emoji23]
Mwaka huu nilifanya application nyingi(Wizara, Tamisemi na PSRS) nikaishia kuambulia mikando.Ngoma had dkk120 sio?[emoji23][emoji23][emoji23], unaweza weka malengo ya mwaka ue ushapata wakat kwa mwaka kaz zilizotoka ni mbili tu. Cha msingi ni kutokata tamaa i believe 2023 utakua mwaka wa kulamba asali kwa hustlers wote Mungu atatenda,Amen.
Tushajibiwa kuwa ni mwaka 1 na Sekretarieti ya Ajiramiezi 6 tu
Wameongeza sasa ni mwaka mmoja yaani ni miezi 12 badala ya miezi 6Acha ubishi mkuu,secretarieti ya ajira kwenye uzi wao wamejibu kwamba ni mwaka 1,au wewe ndo psrs mkandaji[emoji16][emoji16]?
Hapana, havina tatizo. Labda alimaanisha viatu official maana viatu vyenye kamba hata vya mpira, riadha navyo vina kamba.Kwan viatu visivyo na kamba mfano kama Hivi vina tatizo mkuu ?
Hongera sana.Nmeitwa kaka, Wizy atakuwa kapata mchumba[emoji23]
Kila kheri.Mwaka huu nilifanya application nyingi(Wizara, Tamisemi na PSRS) nikaishia kuambulia mikando.
Nimejaribu sio sawa kutojaribu, ni hatua kubwa, nafocus mwakani tena nikijaliwa pumzi
Kwenye POST hii ya CUSTOMS OFFICER II. Kulikuwa na nafasi 45 . Sifa hata wenye digrii ya LAW ...Nimecheki tangazo hapa nimeonaHongera sana.
Hivi walihitaji sifa zipi kwenye hiyo post, sifa yako ya PGO inakubalika?
Cheki na NGOs mi niko huku nikitafuta mrija wa asali serikaliniMwaka huu nilifanya application nyingi(Wizara, Tamisemi na PSRS) nikaishia kuambulia mikando.
Nimejaribu sio sawa kutojaribu, ni hatua kubwa, nafocus mwakani tena nikijaliwa pumzi
Imekaa vzr hiyo ya mwaka 1Tushajibiwa kuwa ni mwaka 1 na Sekretarieti ya Ajira
Tupe ramani mkuuCheki na NGOs mi niko huku nikitafuta mrija wa asali serikalini
Mbona kukandwa kawaida me nilisubiri post baada ya oral miezi km 4 hivi ns niliitegemea sana pdf kujakutoka simo, Aiseh iliniuma saana na mbaya zaidi wengi wakaribu yangu walikuwa wanajua na niliacha kbs kuaply kwengine mishe zote niliitegemea hiyo tu, baadae zikapita siku ilikuwa jully mpk leo sijaona jina moyo wangu ushapondekapondeka na kuanzia hapo nimejifinza ukifanya oral baada ya hapo ni neema za mungu zikufuatie lkn usiitegemee you will be disspointed more na kinachouma ni muda, nimefanya oral lkn nipo km mandonga ndio kwanza naanza upya kuaply kwengine kbs nasahau kwasababu its better to be suprused than to be dissapointed, tunajifunza tuna moveon, Kazi ni ridhiki na mpaji ni mungu wakati ukifika SGR YA MRIJA ITATIRIRIKA TU. LETS KEEP IT UP.
Mwaka ni mwingi.. vijana mliopiga Oral interview kwa nafasi za mtu mmojammoja au wawili wengi mtakula mashavu..Imekaa vzr hiyo ya mwaka 1
Huyo japo alikuwa analia Ila waliona ana some content kichwani.. Ni vizuri kupeana ridhiki namna hii. Naona Sasa Yuko getho kwake anakaanga samaki na broiler 😂😂Ndugu yangu uko sahihi sana. Kuna mdada alitoka kwenye usaili fulani na kurudi nyumbani akilisia siku nzima kwa makadirio ya haraka iliisha wiki hayuko sawa.
Sababu ni kwamba kuna maneno ya kukatisha tamaa aliambiwa na moja ya wanapannel kwenye Oral, yakamtoa kwenye reli kabisa akawa na kigugumizi kuanzia hapo akiulizwa maswali yanayofuata akawa anajibu kisha anazidiwa na kulia.
Kwa hiyo alivyotoka kwenye mtihani akawa anaumia kwamba tayari amefeli, hata kumpa moyo ni ngumu kwa sababu hoja yake ni atafaulu vipi wakati maswali mengi hajayajibu!
Mkeka ulipotoka jina lake likawepo na kuna baadhi ya waliotoka kwa kujiamini na kuanza kumfariji majina yao hayakuwepo.
Nadhani jamaa wa panel labda waligundua kuna kuna mahala waliteleza kwa hiyo wakaona waangalie namna ya kumfidia kibinadamu.
Ni ule mkeka wa TRA wa mwaka huu uliowapa watu wengi ajira.
Uwe kama mimi jobless ama[emoji23]Nikikua nataka kuwa km wewe prok
Yes inakubalika, ilikuwa ni course mbalimbali na kwetu sisi ata kama hujaenda law school iliwezekana kuapplyHongera sana.
Hivi walihitaji sifa zipi kwenye hiyo post, sifa yako ya PGO inakubalika?
Kumbe huruma kama hizi zipo pia[emoji1]basi jamaa wana ubinadamuNdugu yangu uko sahihi sana. Kuna mdada alitoka kwenye usaili fulani na kurudi nyumbani akila siku nzima kwa makadirio ya haraka iliisha wiki hayuko sawa.
Sababu ni kwamba kuna maneno ya kukatisha tamaa aliambiwa na moja ya wanapannel kwenye Oral, yakamtoa kwenye reli kabisa akawa na kigugumizi kuanzia hapo akiulizwa maswali yanayofuata akawa anajibu kisha anazidiwa na kulia.
Kwa hiyo alivyotoka kwenye mtihani akawa anaumia kwamba tayari amefeli, hata kumpa moyo ni ngumu kwa sababu hoja yake ni atafaulu vipi wakati maswali mengi hajayajibu!
Mkeka ulipotoka jina lake likawepo na kuna baadhi ya waliotoka kwa kujiamini na kuanza kumfariji majina yao hayakuwepo.
Nadhani jamaa wa panel labda waligundua kuna kuna mahala waliteleza kwa hiyo wakaona waangalie namna ya kumfidia kibinadamu.
Ni ule mkeka wa TRA wa mwaka huu uliowapa watu wengi ajira.