Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ushauri kwa utumishi
Tenti ziwe angalau tatu kwa ajili ya kujikinga na jua au mvua. Wapande miti bila shaka miti inaota. Saili ziwe zinafanyika mapema Ili wa kurudi mikoani waweze kuondoka kurudi makwao.
Oral ya MDA tulikesha juani
Ukame ule na topographical mbaya kama Ile unapandaje miti pale..!!! kikubwa nachoona ili kutusaidia watafuta Ajira basi waongeze viti vya kuketi au mabenchi na turubai kiaina..
Nakumbuka Oral yangu nimeteseka sana na njaa maana pale wali kibakuli kidogo tu wanauza 4000-5000 so jobless wengi tunashinda na njaa. Pia niliteseka sana na jua ukicheck si wengine hizi rangi zetu. Ila nilivyoingia ndani kwa Jopo njaa yote ikapotea nikaanza kupambania job, Nikajitambulisha kwa history yangu Shortly na kusubiria maswali ya msingi ya taaluma yangu. But panel Ile ilikuwa peace tu yaan unapewa nafasi ya kufikiria point kama Iko mbali.
 
Ni hapo hapo yan. Mtihani kwa kweli[emoji23][emoji23]. Mimi hadi nywele zinapataga vumbi
 
Siku ndio imeisha hivyo tukiwa na agenda ya written TRA, kesho ni j4 siku ya placement. Subira na maombi viendelee
 

Duh! Aisee Mkuu kwa mwendo huu, hawa watu inatakiwa wawe na hekima sana. Pole sana, yani nimeusoma ujumbe wako kama vile nilikuwepo eneo la tukio namna hiyo hali inaumiza.

Halafu kitu nilicho note ni kwamba mara nyingi hata kwenye Ofisi nyingine hawa watu wa chini huwa hawana hekima na sio waelewa kabisa, ni afadhali mtu akipatwa na tatizo adadisi ni yupi kiongozi wao kisha amface anaweza akapata msaada wa maana zaidi.

Sasa mtu anakwambia uende ukatafute barua upya na ni muda wa Oral, hivi ana akili kweli?
 

Aiseeee haya mambo haya, hawa ndugu zetu sijui huwa hawawazi kama saikolojia ni kitu muhimu zaidi hata ya kujiandaa kwa kusoma sana.

Mtu anaweza akajiandaa vya kutosha, ila akisha tetereshwa kisaikolojia haya maswali anaweza asielewe yanataka nini.
 

Wahusika iishi humo
 

Duh! Watu mumepitia mengi sana.

Hahahaha! Mkuu vipi mkeka wa NAOT ukitoka umefanikiwa, utaenda?
 

Ni kweli sana Boss, asante kwa kutukumbusha.
 

Hahahaha! Japo sio mazuri lakini hilo swali linachekesha sana endapo mtu una simuliwa kama hivi.

Ila kwa liliyekukuta inauma kupitiliza.
 

Duh! Aiseee Mkuu hii simulizi ni motivation kubwa kwa ambao wanahisi kukata tamaa.

Yaani wakati wako ukifika hata mwenyewe unaweza usielewe imekuwaje kuwaje lakini ndio hivyo unafanikiwa.
 
Ule mkeka 98% walioingia oral walipata kazi. Nakumbuka sana aisee nilipata 49.0 kwenye written na jamaa zangu wote waliotoboa written wamelamba utamu wa asali.

Aisee hii kitu inaumiza, unakuta ni watu ulikuwa unajiandaa nao na wengine unawaona kabisa hawakuwa serious lakini ndio hivyo wamepita na wewe umebaki.

Muda wako utafika Mkuu, endelea na mapambano.
 
Kuna machoko wanajiona Miungu watu sana ,kauli chafu chafu za kashfa na shombo ndio maisha yao , ulimbukeni ni tatizo sana kwa watanzania .
Hata huku uraiani tabia ni hiyo hiyo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…