Sijui wanajiona akina nani yaaniYani jamaa huwa hawatumii akili kabisa. Kuna baadhi ya vitu unaweza sikia mtu amezuiliwa hadi ukashangaa.
Ntaenda tu Mungu akijalia. But kusema ukweli nlishavurugwa tangu mwanzo. Yaan uwa nina kimuhemuhe cha kusubir placement but this one nmerelax kabisa ata sifikirii. Najijua nlivyokuwa that dayDuh! Watu mumepitia mengi sana.
Hahahaha! Mkuu vipi mkeka wa NAOT ukitoka umefanikiwa, utaenda?
Wapo mfano wewe! Uko half half!Amen kumbe kuna majobless waliochangamka[emoji23][emoji23]
Half half ndo niniWapo mfano wewe! Uko half half!
Prok napaswa kukuona siku 1.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nusu jobless nusu mlamba asaliHalf half ndo nini
Hongera sana mkuuAlhamdulillaah finally Jobless mzoefu amepata mrija wa asali.
Guys since 2017 napambana na mishe za kuunga unga and finally nimeingia kwenye system inayoeleweka.
Sio rahisi kua Jobless na katika kitu kigumu latika maisha ya mtu ni kukosa kazi maalumu especially kwa mwanaume. Mungu ni wetu sote wakati wa Mungu ni wakati sahihi muda utafika but never give up nishalamba mchanga interview nyingi sana. Mungu ni mwema.
Thanks broHongera sana mkuu
Ukiona hivyo wamefeliHivi hawa utumishi
Inakuwaje nafasi zilitangazwa 9 lakin placement wanatoa tatu?
Ukawe mtumishi mwema huko uendako all the bestThanks bro
Mi pia sijabahatika nimekanda.AlhamdulillahHongereni wote mliopata ajira tuliokosa au pengine kubakia database tuendlee na subra huku tukitumaini wakati wetu utafika kwa uwezo wa mungu 🙏
Hongera Sana mwambaAlhamdulillaah finally Jobless mzoefu amepata mrija wa asali.
Guys since 2017 napambana na mishe za kuunga unga and finally nimeingia kwenye system inayoeleweka.
Sio rahisi kua Jobless na katika kitu kigumu latika maisha ya mtu ni kukosa kazi maalumu especially kwa mwanaume. Mungu ni wetu sote wakati wa Mungu ni wakati sahihi muda utafika but never give up nishalamba mchanga interview nyingi sana. Mungu ni mwema.