monoclinic
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 262
- 322
Kufanya kila interview sio kupata mzee.Kama huna sababu reasonable fanya kila interview...mambo ya kupumzika achana nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
ila in my advice unapoteza muda kupumzika mwaka....ila kama umeamua hvyo sawa, naheshimu mawazo yako.Kufanya kila interview sio kupata mzee.
Strategies tu.
Naamini katika hizi plan zangu.wacha nipozi kidogo upepo upite..
Hapo jua umefaulu usaili ...ila itategemea mliofanya usaili mpo wa ngapi na wewe katika hiyo idadi ni wangapi.. kama mmefanya 10 na wao wanataka watu 5 na wewe ukawa kati ya namba 1 hadi namba 5 basi utatokea kwa pdf ila kama upo kati ya namba 6 mpaka 10 subiri database.... Hivyo mpaka sasa una asilimia 85 za kuingia kwenye payroll ya gvtDada unanikatisha tamaa aisee.sasa kama simu + tangazo hamna tutaishije..
Mimi nina SELECTED FOR NULL zangu mbili nazisikilizia sasa kama zaweza kuja bila taarifa bora nimkumbatie mkaburu tu.
Au ndo za KAMLETE???
Labda vyuo navyo vinaandika hayo majina kwa maamuzi yao.Asilimia nyingi vyeti vyetu vya chuo viko kama vya jamaa, chuo wanatumia majina yote matatu kwenye cheti ila cheti cha olevel na Alevel wanatumia majina mawili na la kati likiwa placed kama initial...haina tatizo hio na hatosumbuliwa popote jambo la kawaida tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo uzuri wa watanzania.tunapeana sana moyo hadi raha.Hapo jua umefaulu usaili ...ila itategemea mliofanya usaili mpo wa ngapi na wewe katika hiyo idadi ni wangapi.. kama mmefanya 10 na wao wanataka watu 5 na wewe ukawa kati ya namba 1 hadi namba 5 basi utatokea kwa pdf ila kama upo kati ya namba 6 mpaka 10 subiri database.... Hivyo mpaka sasa una asilimia 85 za kuingia kwenye payroll ya gvt
Basi itakua chuo na chuo mimi nimesoma Udsm na wengi wa UD naona vyeti vimewekwa majina matatu despite ya vyeti vya olevel na Alevel kuwa na majina mawili na initial kati.Labda vyuo navyo vinaandika hayo majina kwa maamuzi yao.
Muhas cheti changu kina majina 2 ambayo ndio yapo kwenye vyeti vya shule.
Wakati nafanyiwa admission nilipeleka cheti cha kuzaliwa kama kawaida ila hawakuongeza jina la ukoo lililopo kwenye cheti cha kuzaliwa, walifuata majina ya kwenye vyeti vya shule.
Hadi sasa natumia majina 2, la tatu huwa naliongeza likihitajika kama nilipokuwa nasajiliwa NIDA na kufungua akaunti Bank.
Waache hivi hivi tuHivi kipi bora utumishi wangekua wanatoa list ya waliopita kwenye oral kisha michakato ya kuita kwa ajili ya kazi ikafuata au bora hivi placement intok na kureport kazini hakuchukui muda mref
Mwamba..ila in my advice unapoteza muda kupumzika mwaka....ila kama umeamua hvyo sawa, naheshimu mawazo yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu.Mwamba..
Nakotoka hadi dodoma garama yake si mchezo.na sijawahi subiria results za written. Nafanya narudi results zinanikuta nishafika.so just imagine nenda rudi dodoma kama mara nne hivi.
So wacha nivute pumzi ya mkwanja na akili
Ndio hivyo mkuu, Darasa letu la Olevel 99% tulizumia majina 2 ambapo yalianzia form 2, tulipofika form 4 tuliambiwa majina ya form ndio yatatumika kusajiliwa.Nimekusoma kaka MWIFWA....bila shaka wewe ni muhenga mwenzangu [emoji3][emoji3][emoji3] maana enzi zetu walimu walikuwa wanapenda kutumia majina mawili tu ila siku hizi NECTA hawakubali majina mawili ni lazima matatu full au la kati liwe na initial.
Hapo sawa mkuuBasi itakua chuo na chuo mimi nimesoma Udsm na wengi wa UD naona vyeti vimewekwa majina matatu despite ya vyeti vya olevel na Alevel kuwa na majina mawili na initial kati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani hzi ishu za status aje ict wa utumishi mwenyewe kbsa amalize utataHapo jua umefaulu usaili ...ila itategemea mliofanya usaili mpo wa ngapi na wewe katika hiyo idadi ni wangapi.. kama mmefanya 10 na wao wanataka watu 5 na wewe ukawa kati ya namba 1 hadi namba 5 basi utatokea kwa pdf ila kama upo kati ya namba 6 mpaka 10 subiri database.... Hivyo mpaka sasa una asilimia 85 za kuingia kwenye payroll ya gvt
Mkuu nitakutafuta,Njoo nikuandalie affidavit chaap, halafu husirudi humu kushuhudia Prok ni nan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaa acha kunipa moyo basiNdugu yangu uko sahihi sana. Kuna mdada alitoka kwenye usaili fulani na kurudi nyumbani akila siku nzima kwa makadirio ya haraka iliisha wiki hayuko sawa.
Sababu ni kwamba kuna maneno ya kukatisha tamaa aliambiwa na moja ya wanapannel kwenye Oral, yakamtoa kwenye reli kabisa akawa na kigugumizi kuanzia hapo akiulizwa maswali yanayofuata akawa anajibu kisha anazidiwa na kulia.
Kwa hiyo alivyotoka kwenye mtihani akawa anaumia kwamba tayari amefeli, hata kumpa moyo ni ngumu kwa sababu hoja yake ni atafaulu vipi wakati maswali mengi hajayajibu!
Mkeka ulipotoka jina lake likawepo na kuna baadhi ya waliotoka kwa kujiamini na kuanza kumfariji majina yao hayakuwepo.
Nadhani jamaa wa panel labda waligundua kuna kuna mahala waliteleza kwa hiyo wakaona waangalie namna ya kumfidia kibinadamu.
Ni ule mkeka wa TRA wa mwaka huu uliowapa watu wengi ajira.
hahahaakuna vidada vingesee sanaaa...kilaaniwe au ndo kile kifupi cheusi hivi??
kuna watu kule wanaroho mbaya jamanSijui ata ni yupi. Nlikuwa na maumivu sana, nkifikiria nmesubiri oral mpaka trh 7 nipo tu Dodoma halafu naambiwa niondoke. Na kosa langu ni very minor na directly sio kosa langu. Kitambaa changu kilijaa machozi
aisee mimi niliteseka na njaa hadi nguvu zikaisha,kwenda kula chakula kibovu mno alafu elfu 4,kikanishinda kula,kumi na moja na nusu ndo naingia kwenye mahojiano nimechoka na kulegea kwa njaa narembua tu hahahaaPole mkuu,ni palepale Asha Rose Migiro? Halafu hapana miundombinu mizuri ya kula.Inatakiwa ifunguliwe cafe nzuri na classic na chakula kiwe affordable. Watu wanashinda njaa sn sn pale Asha Rose Migiro.
Waooh hongera sanaAlhamdulillaah finally Jobless mzoefu amepata mrija wa asali.
Guys since 2017 napambana na mishe za kuunga unga and finally nimeingia kwenye system inayoeleweka.
Sio rahisi kua Jobless na katika kitu kigumu latika maisha ya mtu ni kukosa kazi maalumu especially kwa mwanaume. Mungu ni wetu sote wakati wa Mungu ni wakati sahihi muda utafika but never give up nishalamba mchanga interview nyingi sana. Mungu ni mwema.
Kama ulikua unarembua jua umepitaaisee mimi niliteseka na njaa hadi nguvu zikaisha,kwenda kula chakula kibovu mno alafu elfu 4,kikanishinda kula,kumi na moja na nusu ndo naingia kwenye mahojiano nimechoka na kulegea kwa njaa narembua tu hahahaa