Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongera sana mkuu, kila la kheri na ukawe mtumishi mwema
 
Barua ya mtendaji??? Hua mkifika oral ndo mnaambiwa mwende na barua ama???
 
Ina maana jamaa yako alikuwa anapiga msuli heavy bila hata kuwa na tangazo la kazi.

Na hapo juu umesema alijua hatatoboa, sasa msuli heavy ulikuwa wa nn, kumbuka kusoma bila kuwa na events yoyote vitu huwa vina evaporate.
Sio tu kuevaporate,yan alikua anasoma kwa vacancy ipi mana position hutofautiana
 
Duh nkifanikiwa oral ntabeba msosi kabisa bas kama mambo yenyew ndo hvo[emoji1787]
 
kwema kabisa,bado nasubiria mkando wangu maana matumaini 0
Kuwa strong sio wew tu hio hali maana wengine tulivyoingia tu kwenye panel tukapoteza fahamu nakuja kuzinduka nakabidhiwa vyeti na kuelekezwa pa kupitia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lkn nina bonge la tumaini kwenye pdf na huenda ukawa unahofia na wenzio hivohivo hawaelewi wamefanya nn, jipe moyo na aamini huku ukielekeza maombi na kusonga mbele kwa kila fursa ijayo. Siku yetu ikifika haipingwi hata ujibuje. When God say Yes no body can say No!


#Waiting for miracles

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hello guys. Kwa wakazi wa Moshi/Arusha kuna usafiri private kwa watu wanne interested.
Bei ni Tshs elfu 65 tu Go and return.
Tutaondoka jumamosi tarehe 17/12/2022 saa moja asubuhi.
PACKAGE INCLUDES:
1.Usafiri kutoka Moshi bus stand saa moja asubuhi ya tarehe 17 hadi Dodoma mjini.
2. Usafiri kutoka Dodoma mjini hadi UDOM ukumbi wa CIVE au kumbi jirani tarehe 18 saa kumi na mbili asubuhi (ili kuwahi interview).
3. Usafiri kutoka ukumbi wa interview hadi Dodoma mjini tutakapofikia.
4. Baada ya interview usafiri hadi Moshi stand. Siku ya tarehe 19 saa moja asubuhi.
✓Other benefits include:
•Kudiscuss kwenye gari kwa pamoja
•Kusimama popote njiani and other benefits of a private travel.
DM if interested.
N.B HUU NI MSIMU WA SIKUKUU, UNAWEZA UKAKWAMA EITHER KWENYE GARI ZA ABIRIA KWENDA AU KURUDI, AU NAULI KUPANDA KUPITA KIASI.
MALIPO YANAPOKELEWA KWA MKONO MWISHO SIKU YA IJUMAA YA TAREHE 16/12/2022 SAA SITA MCHANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…