Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

hahahaa fahamu zilirudi ukiwa unakabiziwa vyeti na kuonyeshwa mlango wakutokea,,hapo nimejikuta nacheka kwa sauti!!mimi mmoja aliniuliza kama niko comfortable
 
Sijui wengine tutesekeje ambao hatujapata placement na hatujui kama tumetusua au la.

Wewe ambaye umebakisha hatua ya kuitwa, uko kwenye tension.

Wewe relax na chora ramani ya kuila Asali, tension tuachie sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…