Kama ipo serious sana inakuharibia focus...bora ukaonane na phycologist.... I hope ww n Muslim usisahau kusoma Qur'an na adhkarKuna hali inanitesa sana, hasa kwenye situation kama hii ya kusubiri kitu muhimu. Kuna bad thoughts Huwa zinakuja kichwani kwangu. Nahisi kama taarifa zangu zitapotea, au labda kuna taarifa zimekosewa kujazwa.
Katika psychology hii disorder inaitwa OCD. Najaribu kujitoa katika mawazo hayo lakini bado hayo mawazo huja kichwani.
Basi nateseka sanaa😒
Kama ulipita JKT tupia uhamiaji hapo mkuuAu nizamie polis na uhamiaj nitupie karata huko[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kama una sifa uhamiaji sio mbaya....depo miezi 6 tu kule Tanga. Ukimaliza tu uaningia kwenye ajira moja kwa mojaAu nizamie polis na uhamiaj nitupie karata huko[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nimepita mkuu...kinachonipa wasiwasi kwenye uhamiaji kunakuwaga na michongo sana daah!!Kama ulipita JKT tupia uhamiaji hapo mkuu
Aiseh! Imekaa kiunyama sanaKama una sifa uhamiaji sio mbaya....depo miezi 6 tu kule Tanga. Ukimaliza tu uaningia kwenye ajira moja kwa moja
Amina
Ila huyu ni mwenzangu kweli. Hii language ya ke kabisa[emoji4][emoji4][emoji4]jaman pole mwaya kama nimekukwaza
Bora useme wewe, maana anabisha mno wakati tumemwambia na hence proved![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] She is it!?Ila huyu ni mwenzangu kweli. Hii language ya ke kabisa[emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila huyu ni mwenzangu kweli. Hii language ya ke kabisa[emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuombe nisije nikakimbia kimya kimya kama wizy
Kaka Mimi mwenye ni psychologist na hizi disorders tumezisoma sana ila nashindwa kutake controlKama ipo serious sana inakuharibia focus...bora ukaonane na phycologist.... I hope ww n Muslim usisahau kusoma Qur'an na adhkar
Kaka me nataka kuoa kabisa yaaniNgoja nione slippery kama utaipa bajeti gani[emoji3][emoji3]
Halafu huo upepo ukampitia, so sadWizy alikuwa anakausemi flani hivi eti baba jeni byebye
Ahsante kwa muongozo Da Prok[emoji3]Ila huyu ni mwenzangu kweli. Hii language ya ke kabisa[emoji4][emoji4][emoji4]
Kama amekandwa kama mie [emoji3][emoji3][emoji3] atarudi tu akishakubaliana na hali ila kama kawakanda na kashaingia kwenye mrija kurudi ni 50/50Halafu huo upepo ukampitia, so sad
Itakuwa jambo jema sana, unasitirika.Kaka me nataka kuoa kabisa yaani
Hili nalo litapita, asiporudi tutamsahau, akirudi napo tutasahau hali aliyopitia. Nyakati nzuri au ngumu huwa zinapita na kuja nyakati mpyaKama amekandwa kama mie [emoji3][emoji3][emoji3] atarudi tu akishakubaliana na hali ila kama kawakanda na kashaingia kwenye mrija kurudi ni 50/50
Ww unavyoona ni Rahisi kufanyia Vetting watu 50 ambao uje uchambue watu 18 tu waliokidhi viwango?Sio kwamba vetting huwa inafanywa na utumishi kabla hujapangiwa kazi?!