Kwa mashuhuda kuna taasisi tayari ndiyo maana nikasema watu wajaribu kuuliza kwe taasisi usije kuwa unashindwa kupambania kidogo ulichonacho kwa nguvu kwa mategemeo ya kikubwa ulichopambaniaJaman tusubri tu wakuu Kama Kuna watu wamepigiwa simu basi hawa itakua labda taasis au ofisini Ilikua inataka watu watano tu jumla wa kazi zote walizotangaza ila wale wa mkeka mrefu hawezi FANYA hivyo jamani (najipa moyo hapa)🤣🤣🤣 nakupeni mfano mie nilifanya mwezi wa sita za veta aisee watu wengi walikua wanahitajika kwa maaana ya
1 carpenter
2 fundi masson
3 painter
4 mechanic
5 electricity
6 electrical
7 Computer application
8 na nk
Sasa ukipiga tatal hapo wanaweza wakafika 35 so wote hawa na connection???? Hapana siamini na kama wamepigiwa simu basi ni balaa tupu
Shortlist ya public bado sijaiona, vuta subira ikitoka mambo yatakaa sawa.August mkuu [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwa kilichotokea DUCE sina hamu na hizi interview tena. Msijisumbue kabisa hata kwenda..Shortlist ya public bado sijaiona, vuta subira ikitoka mambo yatakaa sawa.
Muhas sidhani kama wanaweza kufanya uhuni, posts zilikuwa nyingi
Pole kwa kuchelewa kujuaKwa kilichotokea DUCE sina hamu na hizi interview tena. Msijisumbue kabisa hata kwenda..
aacha cc twende kuna mdau wangu kapata kazi Open University bila hata connection.Kwa kilichotokea DUCE sina hamu na hizi interview tena. Msijisumbue kabisa hata kwenda..
Acha kulia lia mitandaoni, DUCE waliwaambia watawapigia simu mtakaopass written, kama hukupigiwa simu inamaana hukupass, jilaumu kwa kutofanya vizuri hiyo interview na sio kuwalaumu DUCE.Kwa kilichotokea DUCE sina hamu na hizi interview tena. Msijisumbue kabisa hata kwenda..
Si kweli duce walisema saa tisa jana 14/9/2022 wataweka mkeka kwa website ya chuo lakini haeakufanya hivyo. Pia saili nyingi za ajira portal ukifanya unaposaini lazima uandike namba yako ya simu ila jana hatukuandika pia hata namba tu za mtihani silikuja kwa kuchelewa . Katika saili zote nilizofanya kupitia ajira portal ya jana Duce imekaa kimchongo sana.......pia ile saili imesimamiwa na chuo asilimia 80 na asilimia 20 tu hivyo lawama ziende kwa Duce na si AJIRA PORTAL. yote ya yote tusikate tamaa mie nipo njiani naelekea Dodoma kwa usaili wa ADEMAcha kulia lia mitandaoni, DUCE waliwaambia watawapigia simu mtakaopass written, kama hukupigiwa simu inamaana hukupass, jilaumu kwa kutofanya vizuri hiyo interview na sio kuwalaumu DUCE.
Umekula Chuma Mzee 😂DUCE jana kulifanyika interview cha kushangaza badala ya kutoa matokeo kwenye page ya sekretarieti ya ajira wanadai walio faulu waliwapigia simu waende kwenye oral leo .nikajiuliza huu utaratibu sekretarieti wameanza lini na je kama mtu kafeli amefeli kwa kupata alama ngapi na huyu aliyefaulu amepata alama ngapi waliogopa nini kuweka pdf kama ilivyo kawaida yao?
We jamaa unatetea umbumbavu, unanyima watu haku zaoAcha kulia lia mitandaoni, DUCE waliwaambia watawapigia simu mtakaopass written, kama hukupigiwa simu inamaana hukupass, jilaumu kwa kutofanya vizuri hiyo interview na sio kuwalaumu DUCE.
Mm nipo nasubiri ahadi ya Waziri jenista mhagamaNikifikiria lile nyomi la kuanzia mwezi wa tano katika kupambania mirija ya asali halafu ngoma ifunikwe hivi hivi daah
Wenzao MUCE mbona wametoa matokeo kwenye mfumo tayari kwa nini DUCE matokeo iwe siri?Si kweli duce walisema saa tisa jana 14/9/2022 wataweka mkeka kwa website ya chuo lakini haeakufanya hivyo. Pia saili nyingi za ajira portal ukifanya unaposaini lazima uandike namba yako ya simu ila jana hatukuandika pia hata namba tu za mtihani silikuja kwa kuchelewa . Katika saili zote nilizofanya kupitia ajira portal ya jana Duce imekaa kimchongo sana.......pia ile saili imesimamiwa na chuo asilimia 80 na asilimia 20 tu hivyo lawama ziende kwa Duce na si AJIRA PORTAL. yote ya yote tusikate tamaa mie nipo njiani naelekea Dodoma kwa usaili wa ADEM
Ya wasita?Mzumbe nilipiga nao Oral tayari huko placement yao kwe web yao
Yeah ya mwezi wa sita wao veta,,muhimbili,,nk
Veta vip ?Yeah ya mwezi wa sita wao veta,,muhimbili,,nk
Si Idara hiyo pia tulipiga nayo usaili mwezi huoVeta vip ?
Mda wa kulia Lia umefika kwa kweli placement zinatoka tu Sasa jina kama HALIPO machungu tu Bora nilivyokua naishi kwa matumain ILA ACHA WATOE TU PLACEMENT 🤣Mzumbe nilipiga nao Oral tayari huko placement yao kwe web yao