Unaomba ukipata unaandika barua ya kuacha kazi ndani ya saa 24. Wengi wameacha nami nawajua na tunao makazini.Great thinkers naomba niwaulize swali tafadhali.
Hivi inawezekana mtu aliyeajiriwa tayari na majeshi yetu ya ulinzi na usalama akaomba nafasi za kazi ambazo zinatangazwa na PSRS kama kada nyingine wanavyofanya?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naijua TGS F ambayo ni 1.3MEti TGS E ni shilling ngapi
Anha!! Kumbe!!Unaomba ukipata unaandika barua ya kuacha kazi ndani ya saa 24. Wengi wameacha nami nawajua na tunao makazini.
Sahih kbsaa mkuuNilikuwa namaanisha kukandwa hukohuko sema nilisahau w.. I meant that usubirie Matokeo sio Kusema umekandwa
Mkuu hata mm hili tatizo naliface Sana hata kutaka kulog off nashindwa kulikoni je imepatikana suluhuWakuu, kwa nini nikiangalia avatar yangu au ya mtu humu jf inaniletea hivi? au kuna matatizo katika app??View attachment 2452976
Eti TGS E ni shilling ngapi
Melo anaendelea kufanya maboresho ya App ya JF, hilo hata mimi nimeliona. Tuwe na subira amalize mambo yatakaa sawaWakuu, kwa nini nikiangalia avatar yangu au ya mtu humu jf inaniletea hivi? au kuna matatizo katika app??View attachment 2452976
Eti TGS E ni shilling ngapi
Kuna kazi nimeomba mtumishi, oral nimemaliza nasubiria majibu ya oral, mshahara TGS E, kama gross inafika mil.1 itakuwa poa sana , halafu serikalini. Tuombe Mungu
Ila oral tayari?kuomba Mungu tu upate hiyo kazi wengine sis tubasubir mzigo wa TGS D
Yap nasubir Pdf ya Placement nipo au Sipo nijue kama nime umaliza mwendo au vipi!Ila oral tayari?
Enzi nasubiria placement nilikua nikiona hii kitu moyo unapasuka.
Ni 1000000Eti TGS E ni shilling ngapi
Yaani baada ya kuniambia mshahara Mil.1 ndio kila siku nitaanza kuangalia placement ajira portalYap nasubir Pdf ya Placement nipo au Sipo nijue kama nime umaliza mwendo au vipi!
Baada ya makato inafika hata 770k hio sio nyingi kiivyo hataYaani baada ya kuniambia mshahara Mil.1 ndio kila siku nitaanza kuangalia placement ajira portal
Kuna kazi nimeomba mtumishi, oral nimemaliza nasubiria majibu ya oral, mshahara TGS E, kama gross inafika mil.1 itakuwa poa sana , halafu serikalini. Tuombe Mungu
Ila mkuu huo bado mdogo huo,,,, Labd upate na AllowanceYaani baada ya kuniambia mshahara Mil.1 ndio kila siku nitaanza kuangalia placement ajira portal