Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hahahaahaaa.

JF imekuwa ni nyumbani kwangu tangu nijiunge humu, sijui kama kuna sababu gani nzito itanitoa humu. Kikubwa tuombe Mungu aendelee kutujalia pumzi.

Ukiangalia mitandao inayoongoza kupendwa hapa Bongo ni FB, Insta na sasa Tiktok inakuja kwa kasi, binafsi FB nishaikacha tangu niifahamu JF, Insta nishashindwa kabisa kuitumia kutokana na feature yake utendaji inayotaka uweke ambatanaisho(picha, video) ndipo uweze kupost.

Mitandao pekee niliyodominate ni JF, Telegram(humu nimetunza nyaraka zangu, na pia naweza kutafuta na kupata nyaraka/file ninalolitaka), Twitter, LinkedIn

Hahahaha! Sawa Mkuu. Wanasema kinachosababisha urafiki ni kuwe na mfanano unaowakutanisha. Japo wengine sababu zilizotuleta kwenye huu uzi ni tofauti lakini asilimia kubwa ni watafuta ajira.

Sasa inshu ni mtu akishapata ajira, automatically anakosa chakumuunganisha na wanaopatikana kwenye huu uzi.

Wakati yeye atahitaji watu wa kujadili nao kwanini Serikali imesimamisha kupandisha madaraja ya watumishi wa Umma, akiingia humu atakuta watu wanabishana kuhusu status baada ya Oral au wanamlaumu mtu anayepandisha Pdf kwenye website ya utumishi kwanini hapandishi siku za Jumanne kama alivyowazoesha.

Baada ya muda ataona michosho na kuingia mitini kwenye nyuzi nyingine.
 
Naombeni mnipokee msaka mrijaa wa asali mwenzenu. Nimekuwa nikiufatilia kwa muda na nimejifunza vingi sana. Mpaka sasa Nishafanya saili kama 6 na zote nimekandwa.

Karibu sana Mkuu. Nakutabiria Oral yako yakwanza itakupa na kazi moja kwa moja.

Usichoke, endelea kupambana huku ukijifunza kupitia mapito yako.
 
Hahahaha! Sawa Mkuu. Wanasema kinachosababisha urafiki ni kuwe na mfanano unaowakutanisha. Japo wengine sababu zilizotuleta kwenye huu uzi ni tofauti lakini asilimia kubwa ni watafuta ajira.

Sasa inshu ni mtu akishapata ajira, automatically anakosa chakumuunganisha na wanaopatikana kwenye huu uzi.

Wakati yeye atahitaji watu wa kujadili nao kwanini Serikali imesimamisha kupandisha madaraja ya watumishi wa Umma, akiingia humu atakuta watu wanabishana kuhusu status baada ya Oral au wanamlaumu mtu anayepandisha Pdf kwenye website ya utumishi kwanini hapandishi siku za Jumanne kama alivyowazoesha.

Baada ya muda ataona michosho na kuingia mitini kwenye nyuzi nyingine.
Au wengine watahamia kwenye uzi wa magari makali akajichagulie subaru huko[emoji3][emoji3]
 
Dah hali sio nzr au ndo mwisho w mwaka
 

Attachments

  • SmartSelect_20221222-082652_Firefox.jpg
    SmartSelect_20221222-082652_Firefox.jpg
    185.4 KB · Views: 10
Au wengine watahamia kwenye uzi wa magari makali akajichagulie subaru huko[emoji3][emoji3]

Hahahaha! Niliona watu humu wameshaanza kushauriana gari gani inafaa kuwateka wadada bila kujali itahitaji service ya kiasi gani au inakunywa mafuta kiasi gani.

meck pro, Ahmet na wizy sipati picha mishahara yao ya miezi mitatu ya kwanza wataifanyia nini, inawezekana wakafanya starehe za kutosha kuuaga ujobless.
 
Back
Top Bottom