Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,340
Utawauwa wtu kwa presha mzeeWale wa Heslb na Naot kitu tayari huko.. bong la pdf dadeq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawauwa wtu kwa presha mzeeWale wa Heslb na Naot kitu tayari huko.. bong la pdf dadeq
Mbona kwenye tovuti hakuna kitu?Wale wa Heslb na Naot kitu tayari huko.. bong la pdf dadeq
Saa tatu na dk 47 nimetoka kuchungulia web nilikuta kimya kama ukimya wa humu ulivyotanda😀Wale wa Heslb na Naot kitu tayari huko.. bong la pdf dadeq
Huyo bwana akishalamba asali na kuanza kuogelea kwenye mzinga tu, atatelekeza uchambuzi wa vifungu na kanuni vya wakandaji, akiwa busy kusubiri kila tarehe 22-25,...(jocking)
Hahahaha ukishapita kwa PDF kuja huku yataka moyo
Hahahaahaaa.
JF imekuwa ni nyumbani kwangu tangu nijiunge humu, sijui kama kuna sababu gani nzito itanitoa humu. Kikubwa tuombe Mungu aendelee kutujalia pumzi.
Ukiangalia mitandao inayoongoza kupendwa hapa Bongo ni FB, Insta na sasa Tiktok inakuja kwa kasi, binafsi FB nishaikacha tangu niifahamu JF, Insta nishashindwa kabisa kuitumia kutokana na feature yake utendaji inayotaka uweke ambatanaisho(picha, video) ndipo uweze kupost.
Mitandao pekee niliyodominate ni JF, Telegram(humu nimetunza nyaraka zangu, na pia naweza kutafuta na kupata nyaraka/file ninalolitaka), Twitter, LinkedIn
Naombeni mnipokee msaka mrijaa wa asali mwenzenu. Nimekuwa nikiufatilia kwa muda na nimejifunza vingi sana. Mpaka sasa Nishafanya saili kama 6 na zote nimekandwa.
Wanahamia kulee, kimasihara, maana anakua "exposed" huko.Baada ya muda ataona michosho na kuingia mitini kwenye nyuzi nyingine.
Ni kwel hakuna formula yeyoteya Placement but tumezoea mara kadhaa ikitokea siku ya juma nne, ndio mana watu wana hyo nadharia. placemenr ni J4Nionavyo placement za sasa hazina muda maalumu hata mchana wanafyatua tu
Ni muda sasa utumishi watupe ka Placement mana hata msururu wa New umepungua😠Saa tatu na dk 47 nimetoka kuchungulia web nilikuta kimya kama ukimya wa humu ulivyotanda😀
Ngoja tukasubiri na leo kama katakuja[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kaplacement ka mchongo ausio
Au wengine watahamia kwenye uzi wa magari makali akajichagulie subaru huko[emoji3][emoji3]Hahahaha! Sawa Mkuu. Wanasema kinachosababisha urafiki ni kuwe na mfanano unaowakutanisha. Japo wengine sababu zilizotuleta kwenye huu uzi ni tofauti lakini asilimia kubwa ni watafuta ajira.
Sasa inshu ni mtu akishapata ajira, automatically anakosa chakumuunganisha na wanaopatikana kwenye huu uzi.
Wakati yeye atahitaji watu wa kujadili nao kwanini Serikali imesimamisha kupandisha madaraja ya watumishi wa Umma, akiingia humu atakuta watu wanabishana kuhusu status baada ya Oral au wanamlaumu mtu anayepandisha Pdf kwenye website ya utumishi kwanini hapandishi siku za Jumanne kama alivyowazoesha.
Baada ya muda ataona michosho na kuingia mitini kwenye nyuzi nyingine.
Karibu sana jobless, usikate tamaa siku yako ya kutoboa ipo mbioni kukufikiaNaombeni mnipokee msaka mrijaa wa asali mwenzenu. Nimekuwa nikiufatilia kwa muda na nimejifunza vingi sana. Mpaka sasa Nishafanya saili kama 6 na zote nimekandwa.
Watuwekee cha kufungia mwaka aiseeNi muda sasa utumishi watupe ka Placement mana hata msururu wa New umepungua[emoji34]
Wanahamia kulee, kimasihara, maana anakua "exposed" huko.
Au wengine watahamia kwenye uzi wa magari makali akajichagulie subaru huko[emoji3][emoji3]
100% mahitaji yatakua yamebadilika, mazingira tu ya semina na wekishopu, extra duty,... Habari za wakandaji punde tu zinasahaulika.Hahahaha! Nimecheka sana. Kwamba kwa muda huo mtu mahitaji yatakuwa sio ajira tena, itakuwa ni kufurahia alivyokula kimasihara na simulizi za wengine.
Kwwli hali si hali tuwape muda tu tuone na leoNaona bila bila leo