Skywalker00
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 329
- 1,017
And ofcourse siku hzi mara nyingi hawapigi simu ukitoka database...wanaweka tu kwenye pdf wana upload kwenye website yao, so kama ulijichimbia porini huko huna access ya internet ndo inatokea situation kama ya jamaa yako hapo.Mkuu angeona jina kwenye PDF si angeenda kuchukua barua, hajui kama PDF ilitoka au lah
Kilichotokea ni kwamba alikuja kukata tamaa ya kuangalia pdf za placement, kumbuka interview kafanya june 2021 na anasema hajawahi kupigiwa simu
Hatujui sababu zilizofanya kushindwa kufatilia pdf, naamini sio watu wote wanapata wasaa wa kuangalia pdfs zote.placements za psrs zote ziko kwnye ARCHIVE yao kwenye website, chakufanya mwambie achambue pdf moja baada ya nyingine(jina kwa jina) from sept 2021 mpaka April 2022 aone kama atakuta jina lake, akikuta jina aisee ataambiwa yeye mzembe, asipokuta that means psrs ndio walikosea...af alichokaje jamaa? yani placement inatoka sept 2021 na anajua kabsa database ilikua miezi 6, anashindwa ku view pdf's tu mpaka april? Alizingua hapo kwenye kuchoka.
Basi kama jina lilikuepo kwenye pdf hata akienda ataambiwa yeye ni mzembe tu ila sio mbaya akienda akijaribu bahati yake, rizki ka ilikua yake ataipata tu.Hatujui sababu zilizofanya kushindwa kufatilia pdf, naamini sio watu wote wanapata wasaa wa kuangalia pdfs zote.
Lakini uwa tunaandika namba za simu pale, mimi naona ni vyema wangekua wanapiga simu kwa mhusika hasa kama ni from database.
Aiseee nimekagua PDFs za March na April, hakuna jina lake wala hiyo taasisi.Basi kama jina lilikuepo kwenye pdf hata akienda ataambiwa yeye ni mzembe tu ila sio mbaya akienda akijaribu bahati yake, rizki ka ilikua yake ataipata tu.
Kagua zote from sept 2021 mpaka kwenye tarehe ilioko kwenye barua.Aiseee nimekagua PDFs za March na April, hakuna jina lake wala hiyo taasisi.
Kagua alaf leta mrejesho.Kagua zote from sept 2021 mpaka kwenye tarehe ilioko kwenye barua.
Mkuu barua imetolewa tar 11 April 2022, ntaanzaje kukagua za september[emoji3]Kagua zote from sept 2021 mpaka kwenye tarehe ilioko kwenye barua.
Haizidi ata 10 mins kukagua from september mzee, ila kama unachoka haya mkuu.Mkuu barua imetolewa tar 11 April 2022, ntaanzaje kukagua za september[emoji3]
Na nimeshauri kuanzia sept 2021 sababu ndio tarehe iliotoka placement yake ya kwanza kabsa.Mkuu barua imetolewa tar 11 April 2022, ntaanzaje kukagua za september[emoji3]
Kuanzia september 2021 mpaka leo, hakuna pdf yenye jina lake mkuuNa nimeshauri kuanzia sept 2021 sababu ndio tarehe iliotoka placement yake ya kwanza kabsa.
Kuifuata dom, timelimit ni ndani ya wiki toka placement ifanyike/iwe-published, baada ya muda huo kupita, barua hutumwa katika adress unayoitumia/uliyotumia katika barua ya kuomba kazi.Huyo ni mzembe,hiyo nafasi ishapewa mtu mwingine. Halafu nijuavyo kwa watu wa database kabla ya yote utumishi huwa wanakupigia simu kukujulisha kuwa umepangiwa nafasi kutoka database na pia hilo la barua kutumwa sina uhakika nalo coz barua huwa unafuata mwenyewe Dodoma.
Nitajie jina la mwajiri(Mamlaka ya Ajira) wake wa hiyo nafasi mimi nikague naona wewe hutaki, na hili la kukataa tamaa ndio limemgharimu huyo jamaaMkuu barua imetolewa tar 11 April 2022, ntaanzaje kukagua za september[emoji3]
Amesema NACRO bila shaka yupo kwenye mkeka huu wa terehe 9 April 2022Nitajie jina la mwajiri(Mamlaka ya Ajira) wake wa hiyo nafasi mimi nikague naona wewe hutaki, na hili na kukataa tamaa ndio limemgharimu huyo jamaa
Aichukue hiyo barua, aipeleke kwa muajiri, ni case common sana hizo, atakachojibiwa ndio anaweza rudi psrs, hilo kwa sasa limetoka mikononi mwa psrs, kwa kua barua alitumiwa, nasisitiza, aichukue barua awasilishe kwa muajiri.Asante kwa ushauri
Ngoja nimwambie afanye hivyo.
Taasisi ni NARCO, nimetafuta kuanzia September 2021 mpaka April 2022Nitajie jina la mwajiri(Mamlaka ya Ajira) wake wa hiyo nafasi mimi nikague naona wewe hutaki, na hili na kukataa tamaa ndio limemgharimu huyo jamaa
Mkuu post ni hiyo internal auditor ii, lakini ilo jina sio lakeAmesema NACRO bila shaka yupo kwenye mkeka huu wa terehe 9 April 2022View attachment 2455862
Nashukuru kwa ushauriAichukue hiyo barua, aipeleke kwa muajiri, ni case common sana hizo, atakachojibiwa ndio anaweza rudi psrs, hilo kwa sasa limetoka mikononi mwa psrs, kwa kua barua alitumiwa, nasisitiza, aichukue barua awasilishe kwa muajiri.
Ebu aseme kama hamna jina lake hapo kweliAmesema NACRO bila shaka yupo kwenye mkeka huu wa terehe 9 April 2022View attachment 2455862
Kwenye mkeka huu hayupo?Amesema NACRO bila shaka yupo kwenye mkeka huu wa terehe 9 April 2022View attachment 2455862
Hadi hapo, inabidi atekeleze ushauri alioupata humuNashukuru kwa ushauri