little finger
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 394
- 997
Post ni hiyo internal auditor, lakini jina lake halipo...Kwenye mkeka huu hayupo?
Basi hapo aende kwa huyo mwajiri wake, asiporidhishwa na majibu aende sasa utumishi na awaambie kabsa kua hawaku publish jina lake kwenye website...hapo utumishi ndio walizingua.Taasisi ni NARCO, nimetafuta kuanzia September 2021 mpaka April 2022
Sijaona hii taasisi wala jina la muhusika.
Yote ya yote achukue hiyo barua akimbie haraka sana makao makuu ya nacro hapo dodoma akaripot... Akiulizwa mbona umechelewa atasema kuwa barua imechelewa kumfikia na akujua kama amepata kazi...adanganye tu kuwa pdf imetoka mwezi wa nne lakin kwa bahat mbaya kipindi hicho smart phone yako ilipotea so ukuona huo mkeka, pia anuani niliyotumia muhusika alisafiri aliporudi ndio akaenda posta akaiona hiyo barua. ( Ila hapa kuwa makini peleleza kwanza psrs hutuma barua posta kwa niia ya kawaida au EMS....kama ems wiki 1 au 2 inakuwa ishakufikia na wanaleta mpaka nyumbani hivyo utaonekana muongoNashukuru kwa ushauri
Huyo jamaa mbona unampambania sana?. Na details zake zote unazo.Aiseee nimekagua PDFs za March na April, hakuna jina lake wala hiyo taasisi.
Barua kupitia Posta au EMS lazima iwe na muhuri na tarehe wa sehemu ilipopita.Yote ya yote achukue hiyo barua akimbie haraka sana makao makuu ya nacro hapo dodoma akaripot... Akiulizwa mbona umechelewa atasema kuwa barua imechelewa kumfikia na akujua kama amepata kazi...adanganye tu kuwa pdf imetoka mwezi wa nne lakin kwa bahat mbaya kipindi hicho smart phone yako ilipotea so ukuona huo mkeka, pia anuani niliyotumia muhusika alisafiri aliporudi ndio akaenda posta akaiona hiyo barua. ( Ila hapa kuwa makini peleleza kwanza psrs hutuma barua posta kwa niia ya kawaida au EMS....kama ems wiki 1 au 2 inakuwa ishakufikia na wanaleta mpaka nyumbani hivyo utaonekana muongo
Mkuu tuishi kitaalamu humu.Huyo jamaa mbona unampambania sana?. Na details zake zote unazo.
Kwa nn usingesema tu kuwa ni wewe mwnyw ndio ulifanya uzembe/ kukata tamaa kufatilia pdfs.
Akumbuke pia psrs wakikutumia barua at the same time wanamtumia mwajiri wako, inshort copies ziko 3, yao wenywe psrs, ya mwajiri, na yake.Yote ya yote achukue hiyo barua akimbie haraka sana makao makuu ya nacro hapo dodoma akaripot... Akiulizwa mbona umechelewa atasema kuwa barua imechelewa kumfikia na akujua kama amepata kazi...adanganye tu kuwa pdf imetoka mwezi wa nne lakin kwa bahat mbaya kipindi hicho smart phone yako ilipotea so ukuona huo mkeka, pia anuani niliyotumia muhusika alisafiri aliporudi ndio akaenda posta akaiona hiyo barua. ( Ila hapa kuwa makini peleleza kwanza psrs hutuma barua posta kwa niia ya kawaida au EMS....kama ems wiki 1 au 2 inakuwa ishakufikia na wanaleta mpaka nyumbani hivyo utaonekana muongo
Mbona ni kawaida mkuu kuwa na details za dada/kaka yakoHuyo jamaa mbona unampambania sana?. Na details zake zote unazo.
Kwa nn usingesema tu kuwa ni wewe mwnyw ndio ulifanya uzembe/ kukata tamaa kufatilia pdfs.
Ok mkuu,sikuwa na uhakika kama huwa zinatumwa badala ya kuchukulia pale Dodoma.Kuifuata dom, timelimit ni ndani ya wiki toka placement ifanyike/iwe-published, baada ya muda huo kupita, barua hutumwa katika adress unayoitumia/uliyotumia katika barua ya kuomba kazi.
Anyway, aichukue hiyo barua aiwasilishe kwa muajiri, nafasi haiwezi potea kizembe kiasi hicho.
Huwa zinatumwa mzee, changamoto kubwa ni kuwa, "majority of applicants" huweka/hutumia anuani wasizo na uhusiano nazo moja kwa moja. Wengi hujaza tu anuani anayoifikiria kutimiza tu takwa, ndo kama huyo na case yake hiyo.Ok mkuu,sikuwa na uhakika kama huwa zinatumwa badala ya kuchukulia pale Dodoma.
Kaka Mimi Sasa nashinda jukwaa la mahusiano kule🤣🤣Hahahaha! Niliona watu humu wameshaanza kushauriana gari gani inafaa kuwateka wadada bila kujali itahitaji service ya kiasi gani au inakunywa mafuta kiasi gani.
meck pro, Ahmet na wizy sipati picha mishahara yao ya miezi mitatu ya kwanza wataifanyia nini, inawezekana wakafanya starehe za kutosha kuuaga ujobless.
Daaahhh, kwamba sisi sio level zako tena mkuu[emoji3][emoji3]Kaka Mimi Sasa nashinda jukwaa la mahusiano kule[emoji1787][emoji1787]
Hamna kaka tupo pamoja sana, kutafuta utelezi ni muhimu piaDaaahhh, kwamba sisi sio level zako tena mkuu[emoji3][emoji3]
Placement Leo hamna?Naona Leo Ijumaa inapita hivihivi hamna hata Call for Interview,,,PSRS wako busy na kusahihisha mitihani + Mambo ya Sikukuu..
Me sijaiona au mwenzangu umeiona Leo.?Placement Leo hamna?
Kaka Mimi Sasa nashinda jukwaa la mahusiano kule[emoji1787][emoji1787]
Yupo sahihiHahahaha! Dah Mkuu nimecheka sana.
Kwamba kwa sasa kipaumbele kimehamia kwenye masuala ya mahusiano, mambo ya kazi umeshamalizana nayo.