Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nashukuru kwa ushauri
Yote ya yote achukue hiyo barua akimbie haraka sana makao makuu ya nacro hapo dodoma akaripot... Akiulizwa mbona umechelewa atasema kuwa barua imechelewa kumfikia na akujua kama amepata kazi...adanganye tu kuwa pdf imetoka mwezi wa nne lakin kwa bahat mbaya kipindi hicho smart phone yako ilipotea so ukuona huo mkeka, pia anuani niliyotumia muhusika alisafiri aliporudi ndio akaenda posta akaiona hiyo barua. ( Ila hapa kuwa makini peleleza kwanza psrs hutuma barua posta kwa niia ya kawaida au EMS....kama ems wiki 1 au 2 inakuwa ishakufikia na wanaleta mpaka nyumbani hivyo utaonekana muongo
 
Yote ya yote achukue hiyo barua akimbie haraka sana makao makuu ya nacro hapo dodoma akaripot... Akiulizwa mbona umechelewa atasema kuwa barua imechelewa kumfikia na akujua kama amepata kazi...adanganye tu kuwa pdf imetoka mwezi wa nne lakin kwa bahat mbaya kipindi hicho smart phone yako ilipotea so ukuona huo mkeka, pia anuani niliyotumia muhusika alisafiri aliporudi ndio akaenda posta akaiona hiyo barua. ( Ila hapa kuwa makini peleleza kwanza psrs hutuma barua posta kwa niia ya kawaida au EMS....kama ems wiki 1 au 2 inakuwa ishakufikia na wanaleta mpaka nyumbani hivyo utaonekana muongo
Barua kupitia Posta au EMS lazima iwe na muhuri na tarehe wa sehemu ilipopita.

Atuambie pia kwenye bahasha ya barua tarehe zinasomekaje ili tujue ni lini hiyo barua ilifika kwenye final destination
 
Yote ya yote achukue hiyo barua akimbie haraka sana makao makuu ya nacro hapo dodoma akaripot... Akiulizwa mbona umechelewa atasema kuwa barua imechelewa kumfikia na akujua kama amepata kazi...adanganye tu kuwa pdf imetoka mwezi wa nne lakin kwa bahat mbaya kipindi hicho smart phone yako ilipotea so ukuona huo mkeka, pia anuani niliyotumia muhusika alisafiri aliporudi ndio akaenda posta akaiona hiyo barua. ( Ila hapa kuwa makini peleleza kwanza psrs hutuma barua posta kwa niia ya kawaida au EMS....kama ems wiki 1 au 2 inakuwa ishakufikia na wanaleta mpaka nyumbani hivyo utaonekana muongo
Akumbuke pia psrs wakikutumia barua at the same time wanamtumia mwajiri wako, inshort copies ziko 3, yao wenywe psrs, ya mwajiri, na yake.
 
Huyo jamaa mbona unampambania sana?. Na details zake zote unazo.

Kwa nn usingesema tu kuwa ni wewe mwnyw ndio ulifanya uzembe/ kukata tamaa kufatilia pdfs.
Mbona ni kawaida mkuu kuwa na details za dada/kaka yako

Kuhusu hii ishu kuwa mimi haiwezi kuwa, oral nimefanya mbili tu, 2020 na juzi november 28

Nampambania maana mdada na wadada wengi ni wazito kwenye ufatiliaji
 
Kuifuata dom, timelimit ni ndani ya wiki toka placement ifanyike/iwe-published, baada ya muda huo kupita, barua hutumwa katika adress unayoitumia/uliyotumia katika barua ya kuomba kazi.

Anyway, aichukue hiyo barua aiwasilishe kwa muajiri, nafasi haiwezi potea kizembe kiasi hicho.
Ok mkuu,sikuwa na uhakika kama huwa zinatumwa badala ya kuchukulia pale Dodoma.
 
Hahahaha! Niliona watu humu wameshaanza kushauriana gari gani inafaa kuwateka wadada bila kujali itahitaji service ya kiasi gani au inakunywa mafuta kiasi gani.

meck pro, Ahmet na wizy sipati picha mishahara yao ya miezi mitatu ya kwanza wataifanyia nini, inawezekana wakafanya starehe za kutosha kuuaga ujobless.
Kaka Mimi Sasa nashinda jukwaa la mahusiano kule🤣🤣
 
Back
Top Bottom