Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkuu naona unatumia Facts kukiko opinions.

Kila angle unayogusa unajaribu kui match na sheria zinavyosema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakii silijui, yaan majukwaa ambayo nmeyatembelea tangu nijiunge jf tofauti na hili ni jukwaa la ujenzi na makazi, biashara na lile la jamii intelligence huku na kwenyewe nliacha maana wanapenda kukandamiza dini yaan topics nyingi ni dini za watu. Nkaona nisije kumkufuru Mungu bure[emoji23]. Ila huku kwenye ajira lazima niingie kila siku, nisipoingia ujue maji yamenifika shingon niko hoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…