[emoji849]Jukwaa la mahusiano ndo linaitwaje? Sijawahi kulionaš„±
Jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafikiJukwaa la mahusiano ndo linaitwaje? Sijawahi kulionaš„±
Mahusiano yenyewe yanahusiana na Nini?!!!Jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki
Kweli, ngoja na mimi nichukue likizo ya kuanza kufuatilia placement rasmiMsimu wa sikukuu ndio huo ushapiga hodi, mambo ya placement tuyasubiri kuanzia January
Kati ya kesho au 31/12 placement inatoka, ni kwa mujibu wa record za nyumaKweli, ngoja na mimi nichukue likizo ya kuanza kufuatilia placement rasmi
Kweli watoe placement zote za mwaka huu Ili 2023 inapoanza kila mtu ajue amevuna Nini na anajipangaje Tena mwakani.Ninachowakubali utumishi hawanaga siku maalumu, utaona mara wanakuja kutusuprise na Pdf ndefu kama Treni
Yaaap, now hakuna call for Interview basi waporomoshe hayo maplacementKweli watoe placement zote za mwaka huu Ili 2023 inapoanza kila mtu ajue amevuna Nini na anajipangaje Tena mwakani.
Tufunge mwaka na Bonge la PDF au iwe bandika bandua mpaka mwisho wa mwezi
Mkuu naona unatumia Facts kukiko opinions.Kanuni hii hapa(24).
Uzito wa kanuni hii ni "kutoripoti bila sababu"
Sasa mimi namshauri aende PSRS akiwa na nyaraka zake zote na awe na hiyo PDF ya placement, akawaeleze hii shida yake, ajitahidi kuwaeleza namna ambavyo hakuweza kuipata barua kwa wakati kupitia anwani aliyoiandika.
Endapo watamuelewa, watamjuza kama nafasi yake ishajazwa au la. Kama imejazwa, automatically hii kanuni ya 24 itamhusu.
Kama ataangukia kwenye hii kanuni, akawaombe wampe nafasi ya kuendelea kuomba kazi zingine zitakazoendelea kutangazwa.
Pia ajaribu kuwaomba kuhusu kukaa database ingawa muda wake ulishaisha.
Kila la kheri kwake.View attachment 2455292
Placement za mwaka huu haziwezi kutoka zote kabla mwaka haujapindukaKweli watoe placement zote za mwaka huu Ili 2023 inapoanza kila mtu ajue amevuna Nini na anajipangaje Tena mwakani.
Tufunge mwaka na Bonge la PDF au iwe bandika bandua mpaka mwisho wa mwezi
Siku zote spectators ndio wanaouona ufundi wa msakata kabumbu kuliko msakata kabumbu mwenyewe.Mkuu naona unatumia Facts kukiko opinions.
Kila angle unayogusa unajaribu kui match na sheria zinavyosema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo tusubiri mpaka mwakani nyinginezoPlacement za mwaka huu haziwezi kutoka zote kabla mwaka haujapinduka.
Mimi ni spectator mmojawapo[emoji23]Siku zote spectators ndio wanaouona ufundi wa msakata kabumbu kuliko msakata kabumbu mwenyewe.
Tuishi mkuu na kuendelea kuucheza huu mziki wa PSRS
Yupo sahihi
[emoji849]
Mkuu naona unatumia Facts kukiko opinions.
Kila angle unayogusa unajaribu kui match na sheria zinavyosema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuuKwa hiyo tusubiri mpaka mwakani nyinginezo