HS CODE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 1,784
- 4,376
Pendaneni muweke rekodi!!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pendaneni muweke rekodi!!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli dada prok? Ulipata kaplacement utatembelea na hukoHakii silijui, yaan majukwaa ambayo nmeyatembelea tangu nijiunge jf tofauti na hili ni jukwaa la ujenzi na makazi, biashara na lile la jamii intelligence huku na kwenyewe nliacha maana wanapenda kukandamiza dini yaan topics nyingi ni dini za watu. Nkaona nisije kumkufuru Mungu bure[emoji23]. Ila huku kwenye ajira lazima niingie kila siku, nisipoingia ujue maji yamenifika shingon niko hoi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hizi za baba jeni bai bai, kijana wa ovyo, utelezi etc nazijua
ahmet hapo hadi januaryNasikia harufu ya placement
Acha tuoneahmet hapo hadi january
asaivi sikukuu hakuna placement hadi january tufarijiane tu tukiandaa panadol tukandwe vizuri ila sipati picha nami jina langu likitokea kwenye pdf ntashinda ntalala ntagalala kumuomba munguAcha tuone
Mimi sio km nyie, ntasubir nitafutwe, nyie wanaume mna kazi ngumu sana, mpaka mtafuteKweli dada prok? Ulipata kaplacement utatembelea na huko
Kwa nini ugalegale[emoji23]asaivi sikukuu hakuna placement hadi january tufarijiane tu tukiandaa panadol tukandwe vizuri ila sipati picha nami jina langu likitokea kwenye pdf ntashinda ntalala ntagalala kumuomba mungu
Uko sahihi ila mtazamo wangu na kulingana na mazingira ya bongo bora utamani kujiimarisha kiuchumi kuliko na kielimu(mf PhD ambazo ndio hazina msaada kabisa).Hahahahaha! Sawa Mkuu, kwa kifupi ulichomaanisha ni elimu ilichokufanyia umekoma, ni bora ufanye mambo mengine kwa sasa.
Japo haya mambo ndivyo yalivyo, kuna kusahau. Hata ukikutana na mwanamke aliyetoka kujifungua muda si mrefu anaweza kujiapiza kwamba kwa maumivu aliyoyapitia kubeba ujauzito mpaka zoezi la kujifungua hatorudia tena.
Lakini baada ya muda mfupi sana, kusahau na mambo mengine yakobaiolojia humfanya atamani kuongeza mtoto.
Ninachomaanisha, ukishaingia kwenye pipa la asali utajikuta ajira inakushape, unaanza kuwaza kupanda juu zaidi kwa kuongeza elimu.
furaha kuingia ajira ya serikaliKwa nini ugalegale[emoji23]
Tunawaza hivi huku hatujui kumbe mtu anabugia ulanzi huko kwao Uchagani(kama ni wa KLM lakini)[emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaha! Kwa mwenendo wa Mzee wa pdf huwa anatabia ya kufanya kazi nje ya muda wa kazi pamoja na sababu nyingine ni ili apate allowances kidogo.
Nadhani hizi weekends na sikukuu au hata jioni na usiku msizichukulie poa, hashindwi kufanya jambo.
Halafu mbona nliambiwa linaitwa jukwaa la mapenzi na mahusiano ila sioni kwenye list[emoji3064], ama mimi JF inataka nitafute kazi kwanzaKweli dada prok? Ulipata kaplacement utatembelea na huko
Ninyi kazi ngumu zaidi inakuja pale unapojihisi unahitaji ila watu wanakupotezea. Hiyo hatua upande wenu inakuwa na stress sana.Mimi sio km nyie, ntasubir nitafutwe, nyie wanaume mna kazi ngumu sana, mpaka mtafute
Nmelipata bana, ngoja nikasome story[emoji23][emoji23]. Mapenzi ni mabaya sana kila mtu analalamika[emoji1787]Halafu mbona nliambiwa linaitwa jukwaa la mapenzi na mahusiano ila sioni kwenye list[emoji3064], ama mimi JF inataka nitafute kazi kwanza
Watoto wa mjini wanaita "Vibe"[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa nini ugalegale[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ninyi kazi ngumu zaidi inakuja pale unapojihisi unahitaji ila watu wanakupotezea. Hiyo hatua upande wenu inakuwa na stress sana.
Upande wetu pamoja na kupata ugumu wa kutafuta ila sio kazi kivile
Usiache kutupia ka uzi huko tuje tukapigie soga[emoji3][emoji3][emoji3]Nmelipata bana, ngoja nikasome story[emoji23][emoji23]. Mapenzi ni mabaya sana kila mtu analalamika[emoji1787]
Najua unalijua hilo kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]