Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hakii silijui, yaan majukwaa ambayo nmeyatembelea tangu nijiunge jf tofauti na hili ni jukwaa la ujenzi na makazi, biashara na lile la jamii intelligence huku na kwenyewe nliacha maana wanapenda kukandamiza dini yaan topics nyingi ni dini za watu. Nkaona nisije kumkufuru Mungu bure[emoji23]. Ila huku kwenye ajira lazima niingie kila siku, nisipoingia ujue maji yamenifika shingon niko hoi
Kweli dada prok? Ulipata kaplacement utatembelea na huko
 
Hahahahaha! Sawa Mkuu, kwa kifupi ulichomaanisha ni elimu ilichokufanyia umekoma, ni bora ufanye mambo mengine kwa sasa.

Japo haya mambo ndivyo yalivyo, kuna kusahau. Hata ukikutana na mwanamke aliyetoka kujifungua muda si mrefu anaweza kujiapiza kwamba kwa maumivu aliyoyapitia kubeba ujauzito mpaka zoezi la kujifungua hatorudia tena.

Lakini baada ya muda mfupi sana, kusahau na mambo mengine yakobaiolojia humfanya atamani kuongeza mtoto.

Ninachomaanisha, ukishaingia kwenye pipa la asali utajikuta ajira inakushape, unaanza kuwaza kupanda juu zaidi kwa kuongeza elimu.
Uko sahihi ila mtazamo wangu na kulingana na mazingira ya bongo bora utamani kujiimarisha kiuchumi kuliko na kielimu(mf PhD ambazo ndio hazina msaada kabisa).

Matajiri wetu wa kibongo si unawaona walivyo na elimu ya kawaida kabisa na wanarun mambo makubwa.!?

Hapa nilipo nawaza huyu mwanangu endapo nikipata chance ya kumuingiza kwenye mpira(kupata Academy ingawa bongo tupo usingizi wa pono upande wa mpira) namsukumizia huko. Watoto wanatoboa wakiwa na miaka 19 tu, huku kwetu ndio kwanza wanakimbizana na kidato cha 4 ambapo kuna uwezekano wa kufaulu au kufeli.
 
Hahahaha! Kwa mwenendo wa Mzee wa pdf huwa anatabia ya kufanya kazi nje ya muda wa kazi pamoja na sababu nyingine ni ili apate allowances kidogo.


Nadhani hizi weekends na sikukuu au hata jioni na usiku msizichukulie poa, hashindwi kufanya jambo.
Tunawaza hivi huku hatujui kumbe mtu anabugia ulanzi huko kwao Uchagani(kama ni wa KLM lakini)[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi sio km nyie, ntasubir nitafutwe, nyie wanaume mna kazi ngumu sana, mpaka mtafute
Ninyi kazi ngumu zaidi inakuja pale unapojihisi unahitaji ila watu wanakupotezea. Hiyo hatua upande wenu inakuwa na stress sana.

Upande wetu pamoja na kupata ugumu wa kutafuta ila sio kazi kivile
 
Halafu mbona nliambiwa linaitwa jukwaa la mapenzi na mahusiano ila sioni kwenye list[emoji3064], ama mimi JF inataka nitafute kazi kwanza
Nmelipata bana, ngoja nikasome story[emoji23][emoji23]. Mapenzi ni mabaya sana kila mtu analalamika[emoji1787]
 
Ninyi kazi ngumu zaidi inakuja pale unapojihisi unahitaji ila watu wanakupotezea. Hiyo hatua upande wenu inakuwa na stress sana.

Upande wetu pamoja na kupata ugumu wa kutafuta ila sio kazi kivile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nmelipata bana, ngoja nikasome story[emoji23][emoji23]. Mapenzi ni mabaya sana kila mtu analalamika[emoji1787]
Usiache kutupia ka uzi huko tuje tukapigie soga[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom