baraka mas
Senior Member
- Dec 3, 2022
- 139
- 471
Hahaha Mimi hata sitahangaika sana naamini nitampata tu kirahisiππMimi sio km nyie, ntasubir nitafutwe, nyie wanaume mna kazi ngumu sana, mpaka mtafute
Yaani ile siku nimeona jina langu hata sikulala, acha tu Kuna furaha kuona placement Iko na jina lako, utaitunza iyo pdf kama kiatu Cha dhahabuasaivi sikukuu hakuna placement hadi january tufarijiane tu tukiandaa panadol tukandwe vizuri ila sipati picha nami jina langu likitokea kwenye pdf ntashinda ntalala ntagalala kumuomba mungu
Hahaa Kuna ile sehemu ya 'love connect'Nmelipata bana, ngoja nikasome story[emoji23][emoji23]. Mapenzi ni mabaya sana kila mtu analalamika[emoji1787]
acha tu kaka i wish hiyo siku sijui ntakua na furaha yenye kiwango gani mungu anisimamieYaani ile siku nimeona jina langu hata sikulala, acha tu Kuna furaha kuona placement Iko na jina lako, utaitunza iyo pdf kama kiatu Cha dhahabu
Utafurahi sana alaf then utaona kawaida tuacha tu kaka i wish hiyo siku sijui ntakua na furaha yenye kiwango gani mungu anisimamie
ukiona tangazo la kuitwa kazini moyo unalipuka ila mungu ndiye ajuayeYaani ile siku nimeona jina langu hata sikulala, acha tu Kuna furaha kuona placement Iko na jina lako, utaitunza iyo pdf kama kiatu Cha dhahabu
unaanzaje sasa kuacha kunipa ulinziKikubwa sisi tunatoa ulinzi tu[emoji3][emoji3]
Yaani daah haya maisha ni stress tu kila hatuaukiona tangazo la kuitwa kazini moyo unalipuka ila mungu ndiye ajuaye
hilo jicho lakounaanzaje sasa kuacha kunipa ulinzi
acha kaka kukandwa kusikie tu unaweza weka matumaini unaongoza practical ukaingia oral ukatoka umejua umeua majibu kuja kutoka umepigwa ndoige hatariYaani daah haya maisha ni stress tu kila hatua
Alaf Mimi sipende nianze kumfuatilia mtu, naamini mahusiano mazuri yanabidi yaanze kwenye urafiki wa kawaida, hapo kutakuwa na kusomana tabia. Sio umemuona mdada nzuri ukafall in love moja Kwa moja na kuanza kumfuatilia.Mimi sio km nyie, ntasubir nitafutwe, nyie wanaume mna kazi ngumu sana, mpaka mtafute
hawaminikiAlaf Mimi sipende nianze kumfuatilia mtu, naamini mahusiano mazuri yanabidi yaanze kwenye urafiki wa kawaida, hapo kutakuwa na kusomana tabia. Sio umemuona mdada nzuri ukafall in love moja Kwa moja na kuanza kumfuatilia.
Sipendi kumpata mwenza eti Kwa kumtafuta mtandaoni au kutafitiwa na mtu flani. Hivyo nitachagua miongoni mwa marafiki zangu nani awe mwenza wanguπππ
πππ Jicho linavuta, unahisi moyo umemwagiwa maji ya uvuguvuguhilo jicho lako
La umuhimu kuto kata tamaaacha kaka kukandwa kusikie tu unaweza weka matumaini unaongoza practical ukaingia oral ukatoka umejua umeua majibu kuja kutoka umepigwa ndoige hatari
jicho la kunifanya nitoe hela zangu na kuuza mashamba ya mzee kijijiniπππ Jicho linavuta, unahisi moyo umemwagiwa maji ya uvuguvugu
uhakika kakaLa umuhimu kuto kata tamaa
πππIla wadada wanatutesa sanajicho la kunifanya nitoe hela zangu na kuuza mashamba ya mzee kijijini
ila yatakiwa tuishi nao kwa akili sanaπππIla wadada wanatutesa sana
Hapana yamenishinda ya hukoo[emoji23]. People are suffering[emoji24]Hahaa Kuna ile sehemu ya 'love connect'