Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sijajua ni kwa nini hawajachukua ufaulu kuanzia 50% sababu hizo sio nafasi za ukufunzi.

Hayo huwa ni maamuzi ya mkandaji kulingana na nafasi za kazi zilizopo.

Mkifaulu wengi sana alama za juu, panga linaishia huko juu pia kwenye idadi atakayoikadiria mkandaji.

Kama alama za ufaulu ni za kawaida mnaweza kuchukuliwa hadi alama 50% ambayo ndio alama ya ufaulu.

Kanuni za PSRS zimefafanua kuhusu ratio ambapo ni 1:3 au 1:4 ila mkandaji siku hiyo akiwa hajavurugwa anaweza kuchukua kwa ratio ya 1: 5 hadi 1:6.

Oral yangu tulikuwa kwenye hii ratio 1:6.

Kwa hiyo ukiingia kwenye written inabidi upinde kweli kweli ili upate alama za juu na uweze kuwa ndani ya panga la mkandaji
 
Ila hawa matokeo yao yametoka mapema kwa sababu wana practical
Halafu practical zao ziko na clusters tofautitofauti.. just Imagine wale waliofaulu sana wapo cluster 1.. wanapiga Practical Yao mapema then wanaendelea na majukumu Yao wakisubiri tokeo..So Kuna watu wale wenye marks ndogo watafanya mpaka tar 10 huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…