Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hahahahaaaaaa, utakuwa umeenda uzi wa kimasihara
 
Hawa jamaa hawajasahisha hii mitihani amini hivyo!.
Toka tarehe 17 watu wameanza kufanya Usaili Hadi Leo hii unasemaje hawajasahihisha.. hii time interval yote walikuwa wanafanya nn..? Siwezi kukubali hiki kitu..
Kitu Cha msingi ukiitwa Usaili utumishi basi jiandae kama ulivyokawa unajiandaa vizuri chuo kufanya UE
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ngoja nikuelekeze na lingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…