Nimepitia kwenda oral dah kwenye account tayari ngoja nisubr mkeke sijui nimepata hamsin na ngapi duh utumishi wamedandia mtumbi wa vibengo🤣🤣🤣Matokeo ya waliofanya saili leo Tutorial mbali mbali tu wakang'aze macho kule,,,,,,
😂😂😂😂😂Nenda kawanyooshe mzee mpaka kielewekeNimepitia kwenda oral dah kwenye account tayari ngoja nisubr mkeke sijui nimepata hamsin na ngapi duh utumishi wamedandia mtumbi wa vibengo🤣🤣🤣
Itapigwa oral hapo mpaka washangae ngoja ni meze tu hapa introduce you self and your education background kudadeki😂😂😂😂😂Nenda kawanyooshe mzee mpaka kieleweke
Kanyooshe pasi mapema yani na ku bull kiatu safiiiiItapigwa oral hapo mpaka washangae ngoja ni meze tu hapa introduce you self and your education background kudadeki
Dua sana kapambane mkuuItapigwa oral hapo mpaka washangae ngoja ni meze tu hapa introduce you self and your education background kudadeki
Kweli mkuu acha ninyooshe hapa nguoDua sana kapambane mkuu
😂😂😂😂itapigwa oral kama ngoma hahhhItapigwa oral hapo mpaka washangae ngoja ni meze tu hapa introduce you self and your education background kudadeki
Usisahau kisaaa cha mkononi Ma tutorial huwa wanacheck kuendana na timeKweli mkuu acha ninyooshe hapa nguo
🤣🤣🤣🤣 Ni noma kumbe now ni mwendo wa kujitungia tu majibu unaweza ukafaulu tu aisee usiache swali kwa kweli😂😂😂😂itapigwa oral kama ngoma hahhh
Asante kwa kunikumbusha mkuuUsisahau kisaaa cha mkononi Ma tutorial huwa wanacheck kuendana na time
😂😂😂😂Hiyo ni principle moja yakufaulu utumishi usiache swali hata iweje🤣🤣🤣🤣 Ni noma kumbe now ni mwendo wa kujitungia tu majibu unaweza ukafaulu tu aisee usiache swali kwa kweli
Poa poa nakuombea duaAsante kwa kunikumbusha mkuu
Hili muhimu mno usiache asiache swali ajibu tu😂😂😂😂Hiyo ni principle moja yakufaulu utumishi usiache swali hata iweje
😂😂😂😂Wamekukanda kiongozi??pole ndo utumishi haoUkiona manyoya .....
Kabisa utumishi ukiacha tu swali hawawezi kukuchua waleHili muhimu mno usiache asiache swali ajibu tu
Vipi mkuu uliweza kujibu maswali yote ya oral ndo ukapata au vipi?Poleni Sana mliokosa nafasi msikate tamaa ipo siku yenu nanyi mtafaulu..Mimi nilifanikiwa kufanya interview mbili ya tatu nikaibuka kidedea now Niko under got..hakuna Cha connection NI haiba yako na uwezo wako
Asante kwa kutupa moyo mkuuPoleni Sana mliokosa nafasi msikate tamaa ipo siku yenu nanyi mtafaulu..Mimi nilifanikiwa kufanya interview mbili ya tatu nikaibuka kidedea now Niko under got..hakuna Cha connection NI haiba yako na uwezo wako
Hv jamani mbona PSRS hawatoi tena MIKEKA ya Usaili.. naona kimya Toka ilivyopita Ile ya Bunge na huu mwaka unaisha.. Sa inafikia kipindi inakubid Kila siku uwe na bando ili uweze kuona kama call for interview imetoka..