Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

mkuu mbn uzi zipo kibao kwann umerudi humu tena kwa Kasi.... Usituchukuliie cc watoto wadogo..
Kukandwa n sehem ya maisha.
wewe ni WIZZY.

Amna humu ndan mweny mambo ya Status zaid yako.
Na tulishayapotezeea.
Status hazina uhusiano n Placement.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]afu kwel kakomalia kwel ishu ya status ni yeye
 
Sawa legend wizy
 
Sawa legend wizy
Uuu uzii utanitoa damu maana kila mtu anani attack as if mm ni wizy og. Kaka mzoefu wa jf nimetafuta sehemu y kufuta account au ku change id sis wageni tunapata tabu sanaa kuijua jf. Embu nipe maelekezo nifanye maamuz sahihi.
 
Uuu uzii utanitoa damu maana kila mtu anani attack as if mm ni wizy og. Kaka mzoefu wa jf nimetafuta sehemu y kufuta account au ku change id sis wageni tunapata tabu sanaa kuijua jf. Embu nipe maelekezo nifanye maamuz sahihi.
Njoo PM tuendelee tulipoishia,si wakumbuka?[emoji16]
 
Uuu uzii utanitoa damu maana kila mtu anani attack as if mm ni wizy og. Kaka mzoefu wa jf nimetafuta sehemu y kufuta account au ku change id sis wageni tunapata tabu sanaa kuijua jf. Embu nipe maelekezo nifanye maamuz sahihi.

Bora ungekaa kimya, wenye busara wangekuelewa. Hapo ndio unazidi kuaminisha watu kuwa ww ndie muhusika uliekimbia uzi baada ya kupata/kukosa asali.

Btw: siku ulioacha kutumia id ya wizy ndio hii id ya Wkingz ikaanza kuwa hewan kwenye hii thread.

Wizy = Wkingz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…