Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mungu akubariki zaidi kiongozi
 
Nimepitia kwenda oral dah kwenye account tayari ngoja nisubr mkeke sijui nimepata hamsin na ngapi duh utumishi wamedandia mtumbi wa vibengo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hongera sana, hukuamini ila maajabu yakawa upande mzuri.

Oral ni hatua muhimu sana, kapambane
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ni noma kumbe now ni mwendo wa kujitungia tu majibu unaweza ukafaulu tu aisee usiache swali kwa kweli
Kada zingine kama Afya kutunga majibu ni kazi. Jibu kama ni mdudu fulani, ukijitungia mdudu mwingine unakandwa bila huruma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hilo kweli maana tumeona Vyuo wanaendesha michakato ndani ya mwezi mmoja then watu wanakabidhiwa Cheque number
 

Hahaha, Mkuu umechambua Kitaalamu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…