Mie nilikupa Pepa jana umezingua mwenyewe tu Kikubwa mapambano yaendeleeeUnaweza kua unajua ila pepa za utumishi zikakufanya uonekane hujui kwa sababu ya umakini kweli mimi ni wa kushindwa kujiongeza ili uweze kuaccess server lazima uwe na network zaidi ya masaa mawili
Nilitaman sana kuajiriwa TRA ila ndo hivyo jahazi la matumani ndo linazama bye wazeee sitajihusisha na huu uzi tena .
We jamaa staff wa psrs niniMie nilikupa Pepa jana umezingua mwenyewe tu Kikubwa mapambano yaendeleee
Tupatie ilo pepa tuendee kujinoa na wengine.Mie nilikupa Pepa jana umezingua mwenyewe tu Kikubwa mapambano yaendeleee
Pole mwanangu ni sehemu ya mapambano. Sio mwisho wa life broUnaweza kua unajua ila pepa za utumishi zikakufanya uonekane hujui kwa sababu ya umakini kweli mimi ni wa kushindwa kujiongeza ili uweze kuaccess server lazima uwe na network zaidi ya masaa mawili
Nilitaman sana kuajiriwa TRA ila ndo hivyo jahazi la matumani ndo linazama bye wazeee sitajihusisha na huu uzi tena .
Hahahahaha 🤣🤣 kijana Jana Nampa mipango miji anasema ni vitu anacheza navyo kila siku havimsumbuiWe jamaa staff wa psrs nini
Hakuna Pepa mkuu story tu mie jobless natoa wapi Pepa🤣
Hujaelewa we unajua network ni Internet tu, simaanishi Internet hakuna mtu anaweza kukupa Internet examination roomKwamba net ilikua on alafu ukshindwa kudesa mambo hahah
Sawa mkuu mtaalamu wa network na internetHujaelewa we unajua network ni Internet tu, simaanishi Internet hakuna mtu anaweza kukupa Internet examination room
Kiukweli watakaopita wana haki hii mitihani ni migumu mungu atusaidie nasisi tupate matumaini mapyaKuna watu walikuwa wanajitolea TRA ila ulipo fika wakati wa pepa la utumishi wameambulia marks za viatu, ila cha msingi ni kutokukata tamaa utumishi kupita ni bahati na experience za kutosha.
Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
Tuishi mkuuBro Mungu ni mwema I feel you
Uliitoa kifundi sana, na mbona jamaa alionesha kuitambua na kukiri umemuingezea kitu, haya mambo kama time yako haijafika, hata iweje kutoboa inakua tabu kweli,. Mapambano yaendeleeMie nilikupa Pepa jana umezingua mwenyewe tu Kikubwa mapambano yaendeleee
Mapambano yaendeleee anajua Sema kapanic kidogo tu angetulia angepataUliitoa kifundi sana, na mbona jamaa alionesha kuitambua na kukiri umemuingezea kitu, haya mambo kama time yako haijafika, hata iweje kutoboa inakua tabu kweli,. Mapambano yaendelee
Asubiri zingine hiyo keshaliwa kichwa mtaalamu wa networkMapambano yaendeleee anajua Sema kapanic kidogo tu angetulia angepata
Unajua nilichojifunza, kujua mambo ni swala moja, kujua techniques za kukamilisha mipango ya kupenya katika kidimbwi cha asali, ni jambo lingine.Mapambano yaendeleee anajua Sema kapanic kidogo tu angetulia angepata
Nb: Wakifanya oral vzr...ukizngua oral hupewi kazi hata kama umefaulu pracHao watu wa ICT TRA watapata kazi wote, maana oral wameitwa 48 tu, na post ilikua inataka watu 50 tu.
Ngumu sana kufeli hio, washindwe wao tu.Nb: Wakifanya oral vzr...ukizngua oral hupewi kazi hata kama umefaulu prac
Kuna watu waliingia oral na nafsi zilikua nyingi na wkaachwa hawkupat kz...so kikubwa oral ukajitetee vzr upite ukzngua jamaa wala hwshindwi kukupiga chiniNb: Wakifanya oral vzr...ukizngua oral hupewi kazi hata kama umefaulu prac