Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mungu yu pamoja na wenye kusubir.
Usisahau kuwarushia jobless hata liteni wakaunge bando, maana furaha zao walizoziandaa kwa muda mrefu ili waje wakupongeze ukaamua uziyeyushe[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna jamaa yangu prac kapata below 50 na alikuwa na uhakika kabisa na vitu vina run kabisa,anataka kappeal je inawezekana?
Kwenye kanuni sijaona muongozo wa Kuappeal, sijui kama hilo linawezekana. Wanaojua watuambie
 
Ila leo internet ilikuepo ukifanikiwa kutengeneza cable ili upate printer mtandao ulikua unakuja wenywe uhakika
Mwambie wew labd huyo jamaa ataelwa nilichokua naongea naona kama hatujfnya pepa 1 na huyo mwamba au kfnya eneo tofauti
 
Kuna dogo kasoma IFM kozi sijui social protection kitu kama hiko...kozi yao sijawahi kuiona kwenye kazi za PSRS.
 
Mwambie wew labd huyo jamaa ataelwa nilichokua naongea naona kama hatujfnya pepa 1 na huyo mwamba au kfnya eneo tofauti
Nimesema Internet ndio ilikuwepo ila nilichobug sijachomeka cable ya network kwenye computer kuaccess server na printer
 
Nani kakosa mkuu..? kutaja majina y@ko, Umri, unakotoka, shule ulizopita au sio..?
 
Mambo sio rahisi namna hiyo, mara zote paper huwa rahisi ukishatoka, au kwa yule ambaye haimuhusu.

Katika kukabiliana na panel kuna ile hali ya kupoteana, faham kamili unakua nazo ukiingia na wakati wa kutoka tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Umenikumbusha mbali sana
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Kijana wa hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…