Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
Mengi sana lkn karata inatupwa kokote mkuuAhahaha, umewaza Nini, kule masharti ni mengi mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengi sana lkn karata inatupwa kokote mkuuAhahaha, umewaza Nini, kule masharti ni mengi mno
Kabisa kk, naamini soon na sisi tunaingia kwenye mkongo wa taifaJikubali tu mkuu...
kwamba Unaweza/Inawezekana
Mkuu hapo wewe ni suala la muda tu,,,,utasahau shida zoteHahahaha najipa Imani tu mkuu job kwenyewe si umeona wamezingua mpaka Leo mwezi wa kwanza [emoji20][emoji20]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana na placement mkuu nimekuona kwenye Uzi wa magari unachangia unataka kununua Subaru Forester XT dah jobless kumbe una Hela tu unatusumbua hapa[emoji1787]
Yes Ahmet poa vpJoline mambo
Naona habari ITV hapa kuhusu vyuo vya VETA nchini...serikali imekataa kuongeza pesa za kumalizia ujenzi wa vyuo kwa hesabu walizoletewa siyo halisi. Ni huko Mafia.Ndo hayo matumaini feki yameniponzaa
Kwa anayejua mshahara wa dereva EWURA.... naomba anijuze kuna mtu ameniuliza nikaona ngoja ni share na wadau huku kwa anayejua tafadhal anijuzeYes Ahmet poa vp
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ujobless ni full stress hata ukisalimiwa unahisi unatukanwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee naomba unikumbushe ule muongozo wa utumishi upo page ipi au kama unao hapo naomba unitumie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ni PSRS, sio wewe mkuuBila shaka unamaanisha PSRS mkuu, mimi nilikuwa najibu post ya mdau tu.
Sijajua hiyo habari mie najua vinavyofunguliwa tarehe 16 ni hivi vya zamani maana hivi vipya Bado havijakamlika na Wala hakuna aliyeomba kusoma Kwa sababu hawajaruhusuNaona habari ITV hapa kuhusu vyuo vya VETA nchini...serikali imekataa kuongeza pesa za kumalizia ujenzi wa vyuo kwa hesabu walizoletewa siyo halisi. Ni huko Mafia.
Pia imesemwa kuwa vyuo hivyo vinatarajiwa kufunguliwa mwezi huu tarehe 16. So naona uko mbioni kuitwa mkuu ukaanze majukumu.
Nimeona jamaaa wamepeleka hesabu za million 70+ wakati inatakiwa kama 34 tu hahahaha hawa ndo Wananichelewesha mamaeeee zaoNaona habari ITV hapa kuhusu vyuo vya VETA nchini...serikali imekataa kuongeza pesa za kumalizia ujenzi wa vyuo kwa hesabu walizoletewa siyo halisi. Ni huko Mafia.
Pia imesemwa kuwa vyuo hivyo vinatarajiwa kufunguliwa mwezi huu tarehe 16. So naona uko mbioni kuitwa mkuu ukaanze majukumu.
Mbona inafunguka mkuu, angalia net yakoTovuti ya wakandaji haifunguki.
Watabiri hii ni dalili ya kitu gan[emoji1787]
Sorry namaanisha ku login kwenye account, inakataa ku loginMbona inafunguka mkuu, angalia net yako
System Ipo down try again laterSorry namaanisha ku login kwenye account, inakataa ku login
joline umeolewa?Yes Ahmet poa vp
Huu hapa mkuuView attachment Kanuni za PSRS 2021.pdfMzee naomba unikumbushe ule muongozo wa utumishi upo page ipi au kama unao hapo naomba unitumie
Hivi hupo humu jukwaani mda tu au ni mgeniYes Ahmet poa vp
🤣🤣 Ngoja nikalale tuHivi hupo humu jukwaani mda tu au ni mgeni