Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

[emoji2484][emoji2484][emoji2484][emoji2484]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ndio mkuu.

Naenda kujaribu aisee, nikifika oral nitakuwa nimepiga hatua sana, naona wanaweza kuitwa watu chini ya 6.

Zilizopita kuna ipo ilihitaji watu 4, oral waliitwa watu 10, kwa mantiki hii ninatarajia hii wataitwa wachache zaidi
Kila la heri mkuu,. Ni natumai unaenda kushinda awamu hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…