TRA na zipi zingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TRA na zipi zingine?
Itabidi utueleze Wizy kiundani, ni afya wewe au social scienceTRA na zipi zingine?
Kozi yangu inaaply Afya na natural science mkuu lakini kidogo nna uelewa na research vizuriItabidi utueleze Wizy kiundani, ni afya wewe au social science
[emoji2484][emoji2484][emoji2484][emoji2484]Huko kwenu sekta ya afya,. Huku kwetu changanyikeni ni purukushani tupu, muulizeni Kyagata na ile pepa ya katibu msaidizi wa bunge, ilionekana rahisi, watu walimaliza mwaswali yote, still highest ikawa 60+ kati ya candidet 1000+, walipita 32 tu, wengine wakaliwa vichwaaaa,.
Mimi naona hajawahi kukomenti na hiyo ID, atakuwa huwa anakomenti na ID nyingineInabidi atupe details naona hajawai kucomment jf ila leo kacomment kuna la kujifunza tusubili
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Na siyo new member kiiihivyo hata JF ame join March 2 this year,,,So huenda anatuchora tunavyopeana matango pori ya placement 😂😂😂😂 so tumpe muda nae kwa maneno yake tuoneMimi naona hajawahi kukomenti na hiyo ID, atakuwa huwa anakomenti na ID nyingine
Jumamosi hii ya placement,,,? 😂Jumamosi ya wiki hii narudi kikaangoni(written), tuendelee kuombeana wakuu
Kila la heri kiongoziJumamosi ya wiki hii narudi kikaangoni(written), tuendelee kuombeana wakuu
Mwezi October zinatoka placements zote za saili zilizofanyika mwezi huu 9 kurudi nyumaSafari ya wasubili placements inawezekana ikatoka wakumi kwa wale walioanza saili Toka wa sita Hadi mwezi huu tuendelee na majukumu mengine
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hahahaa, ngoja tukaichokonoe placements huko PSRS maana ukumbi upo karibu na ofisi zaoJumamosi hii ya placement,,,? [emoji23]
Ahsante mkuuKila la heri kiongozi
Jumamosi ya wiki hii narudi kikaangoni(written), tuendelee kuombeana wakuu
Ndio mkuu.Kila la kheri Mkuu, ndio ile uliyosema inahitaji watu wawili?
Kila la heri mkuu,. Ni natumai unaenda kushinda awamu hii.Ndio mkuu.
Naenda kujaribu aisee, nikifika oral nitakuwa nimepiga hatua sana, naona wanaweza kuitwa watu chini ya 6.
Zilizopita kuna ipo ilihitaji watu 4, oral waliitwa watu 10, kwa mantiki hii ninatarajia hii wataitwa wachache zaidi
Nyie mmesoma course gani hizo ambazo kila tangazo la kazi mmo aisee ? ,Kila la kheri Mkuu, ndio ile uliyosema inahitaji watu wawili?
Bachelor of Science in Job ManagementNyie mmesoma course gani hizo ambazo kila tangazo la kazi mmo aisee ? ,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani bora uulize WeweNyie mmesoma course gani hizo ambazo kila tangazo la kazi mmo aisee ? ,