Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nlimwambia hamtofautian, kuna mtu alishawah kukusema humu reaction yako nliipenda, yaan positive kabisa, na yeye naona kama kweli sio Wizy basi ana reaction nzuri, maana sio kwa anavyoandamwa[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Kwenye maoni ya Online Applitude test naomba usituangushe majobless, tuwakilishe kwa namna yeyote ile unayoona inafaa.

Mimi nawaza hapa niandae hata kapdf cha page 1 nitupie kwenye email yao
 
Siku hizi nipo mvivu kuandika mno[emoji23][emoji23][emoji23]
Maoni ninayo kibao ila nkiwaza kuandika nguvu zinaibwa na wachawi[emoji1787]
 
Endelea kuagiza beer usije ukalia,wizy alikimbia huku
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 WIZZY popote ulipo rudiiiii.

Kwa bahati mbaya mm sio yeye. Nilipitia comment za wizzy, nikajikuta nimekua muumini wa status.
Tuliosoma Cuba tumeshaelewa,huu ni ujio mpya wa wizy ila content ni ileile🀣
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 WIZZY popote ulipo rudiiiii.

Kwa bahati mbaya mm sio yeye. Nilipitia comment za wizzy, nikajikuta nimekua muumini wa status.
Daah na ww ukapata kafeeling cha status kama wizy πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yah ukifail oral pia kwenye app inasoma NOT SELECTED FOR NULL ninazo za kutosha[emoji23]
 
Halafu Kuna ID huu zinapenda sana kulike comments za watu.. Binafsi hiz like sizipendi za zinachosha we ukisoma pita kimyakimya maana tunajaziana tu manotification dadeq..
Sitaki like nimemaindi..
Soma upite kushotoπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…