mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Umefanyia wapi huo utafiti?Nazani ni kwamba ukifika passmark written juu ya 50 na hukuchaguliwa kwenda oral unakutana na "" not selected for oral""" mtu
alie piga paper akapata 75 na hakuchaguliwa oral huwezi mwandikia "" not selected for null"" with red.
Na ukifanya written na hukufanikiwa kufika 50 unakutana "" not selected for null""🤣🤣🤣
Na ukifanya oral na hukufanikiwa kufikia passmark unakutana na """ not selected for null"""
NB
Uu ni mtazamo wangu so sio lazima iwe kweli ni kitu ambacho nakifanyia tafit so haija thibitishwa ipo hivo ila naisi ndo ivo.
Watu wa cuba wamenielewa.
Ki ukweli kaka kwa upande wa practicals sijui sana, coz comment za humu wenye shuhuda za status wengi sio wa practical.Wenye practical na wakafika oral inaandika selected for oral na si selected for null,,, kwenye app. Mm naiona hivyo mliofanya practicals vp na kwenu???
Duh kumbe! bs hiyo not selcted for null kwa waliongia oral means ndoigenipo mimi pia nishaingiaga oral na status ipo not selected for null.
Nyie ndo huwa mnachelewesha maendeleo. Halafu soma vizuri text yangu uielewe.Umefanyia wapi huo utafiti?
Hawa sio watoto waje wadanganye watu wazima humu, kwa kifupi kaka sio hawa tu ukitaka kujua wapo wengi pitia comment za watu humu ndani, hakuna haja ya kutaka kumleta kila mtu humu alietoa io comment aku thibitishie, mda mwingine sio lazima wote tuelewe.Mkuu unachokisema hiki una uhakika nacho???
Sawa wizy umeeleweka.Nazani ni kwamba ukifika passmark written juu ya 50 na hukuchaguliwa kwenda oral unakutana na "" not selected for oral""" mtu
alie piga paper akapata 75 na hakuchaguliwa oral huwezi mwandikia "" not selected for null"" with red.
Na ukifanya written na hukufanikiwa kufika 50 unakutana "" not selected for null""[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ukifanya oral na hukufanikiwa kufikia passmark unakutana na """ not selected for null"""
NB
Uu ni mtazamo wangu so sio lazima iwe kweli ni kitu ambacho nakifanyia tafit so haija thibitishwa ipo hivo ila naisi ndo ivo.
Watu wa cuba wamenielewa.
Mimi pia nanae jamaa nilifanya nae oral ingawaje yeye alikuwa anapambania mrija Wa UDART aliandukiwaga not Shirtlisted kwe web mkeka umetoka chaliii sijahitaji kumulizaga tena sasa hivi inasomajeMkuu unachokisema hiki una uhakika nacho???
Mkuu hayo ni maandishi yanayopatikana kwenye portal yangu kwanini nisiwe na uhakikaMkuu unachokisema hiki una uhakika nacho??
Nadhani ndo ipo hivyo mkuuDuh kumbe! bs hiyo not selcted for null kwa waliongia oral means ndoige
Mimi Apps huwa situmii na ukiona upo not shortlisted kwe web Peresu peresu indeedNadhani ndo ipo hivyo mkuu
Umefanyia wapi huo utafiti?
Ndiyo yenye picha yako na Majina yako kama yanavyoendana kwenye vyeti...Ukiwa huna vitambulisho utumishi je barua ya serikali ya mtaa ya kumtambua mtu si inafaa inatumika
Hutaruhusiwa kuingia kwe usaili vitambulisho huwa wanathibitisha majina yako na ya kwenye vyeti ni weweUkiwa huna vitambulisho utumishi je barua ya serikali ya mtaa ya kumtambua mtu si inafaa inatumika
Kwenye web inakuwa selected for oral ila kwenye app ndo inaandika not selected for nullMimi Apps huwa situmii na ukiona upo not shortlisted kwe web Peresu peresu indeed
Ukifanya na practical inakua inabadilika muda mwingi selected for null na mara chache selected for practical interview mimi nimefanya na practical niko njian naenda chukua baruaKi ukweli kaka kwa upande wa practicals sijui sana, coz comment za humu wenye shuhuda za status wengi sio wa practical.
Ila nahisi may b hawajaingiza detail zenu za oral kwenye system huwezi jua inaweza badilika matokeo yakikaribua na kua ""selected for null"" U unaweza lamba asali na io selected for oral status mda mwingine ngumu kuzielewa.
Mbona nilifanya usahili na barua ya serikali ya mtaa unagongewa mhuri kama kawaida na majina matatuHutaruhusiwa kuingia kwe usaili vitambulisho huwa wanathibitisha majina yako na ya kwenye vyeti ni wewe