Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nazani ni kwamba ukifika passmark written juu ya 50 na hukuchaguliwa kwenda oral unakutana na "" not selected for oral""" mtu
alie piga paper akapata 75 na hakuchaguliwa oral huwezi mwandikia "" not selected for null"" with red.

Na ukifanya written na hukufanikiwa kufika 50 unakutana "" not selected for null""🤣🤣🤣

Na ukifanya oral na hukufanikiwa kufikia passmark unakutana na """ not selected for null"""

NB
Uu ni mtazamo wangu so sio lazima iwe kweli ni kitu ambacho nakifanyia tafit so haija thibitishwa ipo hivo ila naisi ndo ivo.
Watu wa cuba wamenielewa.
Umefanyia wapi huo utafiti?
 
Wenye practical na wakafika oral inaandika selected for oral na si selected for null,,, kwenye app. Mm naiona hivyo mliofanya practicals vp na kwenu???
Ki ukweli kaka kwa upande wa practicals sijui sana, coz comment za humu wenye shuhuda za status wengi sio wa practical.

Ila nahisi may b hawajaingiza detail zenu za oral kwenye system huwezi jua inaweza badilika matokeo yakikaribua na kua ""selected for null"" U unaweza lamba asali na io selected for oral status mda mwingine ngumu kuzielewa.
 
Mkuu unachokisema hiki una uhakika nacho???
Hawa sio watoto waje wadanganye watu wazima humu, kwa kifupi kaka sio hawa tu ukitaka kujua wapo wengi pitia comment za watu humu ndani, hakuna haja ya kutaka kumleta kila mtu humu alietoa io comment aku thibitishie, mda mwingine sio lazima wote tuelewe.
 
Nazani ni kwamba ukifika passmark written juu ya 50 na hukuchaguliwa kwenda oral unakutana na "" not selected for oral""" mtu
alie piga paper akapata 75 na hakuchaguliwa oral huwezi mwandikia "" not selected for null"" with red.

Na ukifanya written na hukufanikiwa kufika 50 unakutana "" not selected for null""[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na ukifanya oral na hukufanikiwa kufikia passmark unakutana na """ not selected for null"""

NB
Uu ni mtazamo wangu so sio lazima iwe kweli ni kitu ambacho nakifanyia tafit so haija thibitishwa ipo hivo ila naisi ndo ivo.
Watu wa cuba wamenielewa.
Sawa wizy umeeleweka.

Alafu mwamba unamchango mkubwa sana mimi kufika oral,ubarikiwe.

Status tukuachie uliamue hili mwenyewe
 
Mkuu unachokisema hiki una uhakika nacho???
Mimi pia nanae jamaa nilifanya nae oral ingawaje yeye alikuwa anapambania mrija Wa UDART aliandukiwaga not Shirtlisted kwe web mkeka umetoka chaliii sijahitaji kumulizaga tena sasa hivi inasomaje
 
Achaneni na status mtaumia subirini pdf ni kweli ukiandikiwa selected for null umepita ila inategemea na wanachukua wangapi Kama ni mpo Saba na wataka. 4 halaf wote mna selected for null wanaangalia mwenye ufaulu wa juu lakini wote mumepita kuhusu NOT SELECTED FOR NULL ukifanya oral. Ukafeli pia unaandikiwa not selected for null kwa RED INK
 
Ki ukweli kaka kwa upande wa practicals sijui sana, coz comment za humu wenye shuhuda za status wengi sio wa practical.

Ila nahisi may b hawajaingiza detail zenu za oral kwenye system huwezi jua inaweza badilika matokeo yakikaribua na kua ""selected for null"" U unaweza lamba asali na io selected for oral status mda mwingine ngumu kuzielewa.
Ukifanya na practical inakua inabadilika muda mwingi selected for null na mara chache selected for practical interview mimi nimefanya na practical niko njian naenda chukua barua
 
Back
Top Bottom