Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkeka wa IRDP umeongezewa watu mkaangalie unaeza kuta jina lko huko
Aya mambo unaweza ukapishana na gari la mshahara hivi hivi yaani kama uliangalia ule wa kwanza na ukakata tamaa unaweza ukakosa asali hivi hivi
 
Sio kwako tu, Wametoa Ila nadhani watairudisha..
Ila kwa ambae kaona jina lake uhakika anao kabisa.. Subiri siku ipinduke zote wanaziupload..
Wasije wakapindua meza wakaweka mtoto wa kigogo (jokes) [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mkuu unaogopa kuona NOT SELECTED FOR NULL hahaha
Unajua zamani PSRS walikuwa wanatoa tangazo kuujuza umma kuwa placements zimetoka na kuwataka watembelee section ya placements ili wakajionee majina yao?

Baadae baada ya watu kuzizoea placements ndipo wakaacha kutoa tangazo.

Endapo kama status zingekuwa zinamajibu ya kupata kazi au kukosa pia PSRS wasingeacha kuujuza umma pia. Kwa kuwa hilo halipo, hawajawahi kulisema.

Sasa kama status hazina uthibitisho wa kutoa majibu ya kupata au kukosa kazi baada ya oral, nihangaike nayo ya nini?
 
Wasije wakapindua meza wakaweka mtoto wa kigogo (jokes) [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
PSRS hawana MBAMBAMBA, wale washapewa Authority au Power katika suala Zima la Ajira za Umma hvyo wakiamua mtu fulani wasikuweke kwenye mkeka Unadhani utashitaki wapi.. kwanza saili zenyewe unafanya hata mitihani hairudishwi na hyo Oral yenyewe unatoka ukijipa moyo tu hujui umepata wastani upi.
Despite that wanajitahidi kuwa wawazi na kufanya uungwana kwa vijana na vijana tunaona jinsi wanavyofurahia kuingia kwenye mirija ya asali
 
I
Unajua zamani PSRS walikuwa wanatoa tangazo kuujuza umma kuwa placements zimetoka na kuwataka watembelee section ya placements ili wakajionee majina yao?

Baadae baada ya watu kuzizoea placements ndipo wakaacha kutoa tangazo.

Endapo kama status zingekuwa zinamajibu ya kupata kazi au kukosa pia PSRS wasingeacha kuujuza umma pia. Kwa kuwa hilo halipo, hawajawahi kulisema.

Sasa kama status hazina uthibitisho wa kutoa majibu ya kupata au kukosa kazi baada ya oral, nihangaike nayo ya nini?
Ila mkuu yote kwa yote hili neno "NOT SELECTED FOR..." Ukilikuta kwenye status yako baada ya kupiga Oral linakata Maini wallah😂😂😂
Tuseme tu ukweli
 
Aaah me nijue wapi bhana na hili likozi langu, kwani huko local gvt hawapelekwi wanasharia kwenye mahakama za Mwanzo na wilaya..?
Mwanasheria wa serikali anaweza kwenda kuiwakilisha serikali ktk ngazi ya Mahakama kuu ktk kesi za madai...

Ktk kesi za jinai, wakili wa serikali anaiwakilisha jamhuri kumshitaki mshitakiwa...na hapa anaweza kwenda mahakama ya Mwanzo, ya Wilaya, Mahakama ya hakimu mkazi, mahakama kuu na ya rufani.

Mwanasheria anayefanya kazi mahakamani kusikiliza kesi za jinai na za madai huyu huitwa hakimu au jaji...na ni waajiriwa na Muhimili wa Mahakama. Kazi zao hutangazwa na kusailiwa na mahakama isipokuwa majaji ambao huteuliwa na rais.
 
I
Ila mkuu yote kwa yote hili neno "NOT SELECTED FOR..." Ukilikuta kwenye status yako baada ya kupiga Oral linakata Maini wallah[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuseme tu ukweli
Ndio maana mimi nilichagua kutoangalia status
 
Ndio maana mimi nilichagua kutoangalia status
Hapa lazima wakukande
255717327154_status_e8a4c167728c45b398f61a2253bb4b9d.jpg
 
Ndio maana mimi nilichagua kutoangalia status
Kweli kabisa, naungana na wewe. Kuangalia status ni kujitakia stress[emoji3]
Una deal tuu na PDF za placement, call for interview na kuwa makini na simu yako hasa kwa namba ngeni
 
Back
Top Bottom