Nyooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] WIZZY popote ulipo rudiiiii.
Kwa bahati mbaya mm sio yeye. Nilipitia comment za wizzy, nikajikuta nimekua muumini wa status.
🤣🤣🤣 anadangnya watu wazima sio 🤣Nyooooo
Mimi interview za nyuma status ipo received,why???Mimi Apps huwa situmii na ukiona upo not shortlisted kwe web Peresu peresu indeed
Salama kaka sijafanikiwa hadi jtatu leo wako na usahili wanakandaUsg
Ushachukua Barua Mkuu..
Ushafanya interview afu bado inaandika received?Mimi interview za nyuma status ipo received,why???
Nikifanikiwa kuupata mrija wa asali nataka nikutane na Mwifwa
Nlishakataga tamaa hata ya kuapply,ila ye ameupa hype sana huu uzi nkasema why not em ngoja nijarbu tena.
So wacha tuone,nipo
Leo wanakanda sijafanikiwa hadi jtatuHabari ya Dodoma mkuu, umeshafanikiwa kuchukua barua yako?.
Sasa unasemaje tuachane nayo kuwa hayana maana wakati mwenyewe umerealize kuwa Ikiwa hvyo inakuwa namna ganiAchananeni na masuala ya status lakini Kwenye app kam umefanya not selected for null we ni baba jeni bye bye[emoji85][emoji85] bora uangalie ujue nishakandwa au nimekanda ukiwa na selected for null Kwenye app unakua na matumaini ya kupata asilimia 70
Not selected for null huna hata asilimia gani 0000
Ooohh kumbe mambo ni moto,tututegemee na PDF lingine Leo kwenye Placements paleSalama kaka sijafanikiwa hadi jtatu leo wako na usahili wanakanda
Kiukweli kama kwenye web una not shortlisted na app una not selected for null Kwenye mabadiliko yanayotokea umekandwaSasa unasemaje tuachane nayo kuwa hayana maana wakati mwenyewe umerealize kuwa Ikiwa hvyo inakuwa namna gani
Umetumia experience yko ya kupat kz mkuu au uliulizia kule kwa wakandaji?Kiukweli kama kwenye web una not shortlisted na app una not selected for null Kwenye mabadiliko yanayotokea umekandwa
Swali zuri sana hili kwenda kwa jamaa yetu BarakaUmetumia experience yko ya kupat kz mkuu au uliulizia kule kwa wakandaji?
Experience kwangu na kwa jamaa zangu 3 waliopata kablaUmetumia experience yko ya kupat kz mkuu au uliulizia kule kwa wakandaji?
Jamani SS wengine ni woga wa status msisemesemeKiukweli kama kwenye web una not shortlisted na app una not selected for null Kwenye mabadiliko yanayotokea umekandwa
Bora uangalie ujue umekandwa kuliko usiangalie halafu utegemee pdf ikitoka utakuwepo ukakosa hayo maumivu yake sio poa ila kiukweli not selected for null ni ngumu kupata sijawah kusikiaIla watu wanafurahisha sana.. Justi imagine wanaogopa kuangalia status he siku pdf likitoka na Kuna taasisi yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Na wale nilifanya nao usahili wawili niliwauliza wakasema wana not selected for null pdf kutoka chali wengine sijafanikiwa kuwasiliana ila kila anayepata ushuhuda wa status ni huo nilotoaUmetumia experience yko ya kupat kz mkuu au uliulizia kule kwa wakandaji?
Jamaa mbona umeshadadia haya mastatus.. lengo lako ututoe vijana mchezoni nn.. we mwenzetu uko na barua tayarBora uangalie ujue umekandwa kuliko usiangalie halafu utegemee pdf ikitoka utakuwepo ukakosa hayo maumivu yake sio poa ila kiukweli not selected for null ni ngumu kupata sijawah kusikia
Sawa kk hapo nimekupataNa wale nilifanya nao usahili wawili niliwauliza wakasema wana not selected for null pdf kutoka chali wengine sijafanikiwa kuwasiliana ila kila anayepata ushuhuda wa status ni huo nilotoa
[emoji16][emoji16]Jamani SS wengine ni woga wa status msisemeseme