Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

wapo, watu wa Tengeru, IMF nk walishaitwa kitambo hao walio kwenye PDF ni kutoka kwenye kanzidata
 
Nikifanikiwa kuupata mrija wa asali nataka nikutane na Mwifwa

Nlishakataga tamaa hata ya kuapply,ila ye ameupa hype sana huu uzi nkasema why not em ngoja nijarbu tena.

So wacha tuone,nipo nasubiri kua shortlisted LGA

Kuwa shortlisted ni uhakika kama ulifata vigezo katika kuomba hyo nafasi.

Suala la muhimu ni wewe kuanza maandalizi mapema, tambua kuwa PSRS huwa wanatoa muda mfupi ambao mara nyingi si zaid ya wiki 1 tangu kutoa tangazo hadi tarehe ya usaili wa kuandika.
 
Ahsante sana mkuu, tuishi humu hadi kieleweke
 
Nipe muongozo wataalamu wa ajira portal

Vyeti vya upload ni lazima viwe na muhuri wa mwanasheria au mahakama au la!?

Na pale verification certificate ndi Nini !?

Naomba muongozo mzee Mimi[emoji1]

Bila shaka ushapata muongozo.

Kama bado: Ni lazima vyeti viwe na muhuri wa Mwanasheria/Wakili/Hakimu.

Kwenye sehemu ya Verification inawahusu waliosoma nje ya Nchi ambapo vyeti vyao huwa vinahakikiwa na TCU
 
wapo, watu wa Tengeru, IMF nk walishaitwa kitambo hao walio kwenye PDF ni kutoka kwenye kanzidata
Sawa mkuu, sikuhakiki hao, nilihakiki kwa wanasheria wa OSG ingawa pdf ishaondolewa na haijarudishwa hadi sasa
 
Kwahiyo wanaweza kufuata barua? Isije ikawa wameanza kuipika mpya hiyo pdf
hata mimi sielewi kwanini wameondoa, niliipakua hii before hawajaondoa ila nahisi may be wanaongeza taasisi au wanabadilisha kitu ndipo waapload tena
 
Bila shaka ushapata muongozo.

Kama bado: Ni lazima vyeti viwe na muhuri wa Mwanasheria/Wakili/Hakimu.

Kwenye sehemu ya Verification inawahusu waliosoma nje ya Nchi ambapo vyeti vyao huwa vinahakikiwa na TCU
Nashukuru kwa muongozo
 
Najaribu kuwaza incidence ambayo jina uliliona kabla hawajafuta ila baada ya marekebisho hulioni.....ha ha ha...hapo itabidi uende hivyo hivyo kufata barua na tangazo la awali.
Oohoo hapo utapoteza nauli yako yani ni bora ukawapigia simu kwanza maana kunajamaa angu waliitwa kuchukua barua kwenye post iliyohitaji watu watatu ila kwenye list ya placement waliongezwa na yeye alikua mmojawapo ya walioongezwa kwenye list, alipofika akaambiwa ni makosa yalijitokeza post ilihitaji watatu tu walioongezwa hawana barua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…