wapo, watu wa Tengeru, IMF nk walishaitwa kitambo hao walio kwenye PDF ni kutoka kwenye kanzidataIntro ya tangazo mara nyingi huwa wanaikopi na kupaste wanaedit kidogo tu kama tarehe.
Nimejaribu kupick random majina ya walioitwa kazini na kwenda kuangalia kwenye tangazo la mkando, nimewakuta wote kwenye tangazo niliowapick random. Kwa mantiki hiyo wanaweza wasiwepo kabisa kutoka database.
Ambao huwa wanatoka database kihalali ni ambapo tangazo litasema hivyo bila kutaja tarehe ya oral.
Adi ww😥😥😥😥, nilizani ata dunia nzima initenge ww ungebaki nami😥😥, usinifanyie ivi.Nyooooo
Ndyo mdaaa sana,skupita writtenUshafanya interview afu bado inaandika received?
Yaaah Huwa inatokeagaNdyo mdaaa sana,skupita written
Leo wanakanda sijafanikiwa hadi jtatu
Nikifanikiwa kuupata mrija wa asali nataka nikutane na Mwifwa
Nlishakataga tamaa hata ya kuapply,ila ye ameupa hype sana huu uzi nkasema why not em ngoja nijarbu tena.
So wacha tuone,nipo nasubiri kua shortlisted LGA
Ahsante sana mkuu, tuishi humu hadi kielewekeMwifwa na wengineo,mmefanya huu uzi kuwa mtamu sana.Yani hakuna siku vijana wote waliokandwa au wanaokandwa watashindwa kuingia humu kujifariji kidogo.Tuendelee kumuomba Mungu na tuiombee Serikali yetu iendelee kutoa Ajira kwa wingi.
Pongezi kwao
Sekretarieti ya Ajira kwa kuendesha michakato hii ya Ajira,hakika ni raha Sana kuona vijana wenzetu tunaowafahamu wamepata Ajira,inatia matumaini sana ya Kuwa nasi Wakati wetu ukifika basi Tutapata.
Mungu ni wetu Sote.Tuendelee kupambana na kumtanguliza yeye vijana wenzangu.
Nipe muongozo wataalamu wa ajira portal
Vyeti vya upload ni lazima viwe na muhuri wa mwanasheria au mahakama au la!?
Na pale verification certificate ndi Nini !?
Naomba muongozo mzee Mimi[emoji1]
Sisemi kitu bila ruhusa ya Mwanasheria wangu[emoji3][emoji3][emoji3]Nikifanikiwa kuupata mrija wa asali nataka nikutane na Mwifwa
Nlishakataga tamaa hata ya kuapply,ila ye ameupa hype sana huu uzi nkasema why not em ngoja nijarbu tena.
So wacha tuone,nipo nasubiri kua shortlisted LGA
Sawa mkuu, sikuhakiki hao, nilihakiki kwa wanasheria wa OSG ingawa pdf ishaondolewa na haijarudishwa hadi sasawapo, watu wa Tengeru, IMF nk walishaitwa kitambo hao walio kwenye PDF ni kutoka kwenye kanzidata
Hiyo hapo MkuuSawa mkuu, sikuhakiki hao, nilihakiki kwa wanasheria wa OSG ingawa pdf ishaondolewa na haijarudishwa hadi sasa
kumbe tupo wengi tunaosubiri kua shortlisted MDAs na LGA.Nikifanikiwa kuupata mrija wa asali nataka nikutane na Mwifwa
Nlishakataga tamaa hata ya kuapply,ila ye ameupa hype sana huu uzi nkasema why not em ngoja nijarbu tena.
So wacha tuone,nipo nasubiri kua shortlisted LGA
Unasubiria post ipi mkuu..?kumbe tupo wengi tunaosubiri kua shortlisted MDAs na LGA.
Tutalamba tu asali
Kwahiyo wanaweza kufuata barua? Isije ikawa wameanza kuipika mpya hiyo pdfHiyo hapo Mkuu
hata mimi sielewi kwanini wameondoa, niliipakua hii before hawajaondoa ila nahisi may be wanaongeza taasisi au wanabadilisha kitu ndipo waapload tenaKwahiyo wanaweza kufuata barua? Isije ikawa wameanza kuipika mpya hiyo pdf
Nashukuru kwa muongozoBila shaka ushapata muongozo.
Kama bado: Ni lazima vyeti viwe na muhuri wa Mwanasheria/Wakili/Hakimu.
Kwenye sehemu ya Verification inawahusu waliosoma nje ya Nchi ambapo vyeti vyao huwa vinahakikiwa na TCU
Itakua imafnyiwa marekebisho wataiweka tena tu naona wataongeza taasisi nyinginehata mimi sielewi kwanini wameondoa, niliipakua hii before hawajaondoa ila nahisi may be wanaongeza taasisi au wanabadilisha kitu ndipo waapload tena
Najaribu kuwaza incidence ambayo jina uliliona kabla hawajafuta ila baada ya marekebisho hulioni.....ha ha ha...hapo itabidi uende hivyo hivyo kufata barua na tangazo la awali.Itakua imafnyiwa marekebisho wataiweka tena tu naona wataongeza taasisi nyingine
Oohoo hapo utapoteza nauli yako yani ni bora ukawapigia simu kwanza maana kunajamaa angu waliitwa kuchukua barua kwenye post iliyohitaji watu watatu ila kwenye list ya placement waliongezwa na yeye alikua mmojawapo ya walioongezwa kwenye list, alipofika akaambiwa ni makosa yalijitokeza post ilihitaji watatu tu walioongezwa hawana baruaNajaribu kuwaza incidence ambayo jina uliliona kabla hawajafuta ila baada ya marekebisho hulioni.....ha ha ha...hapo itabidi uende hivyo hivyo kufata barua na tangazo la awali.