Sina hakika ndomana tunaomba waliofanya written status yao ya kwanza after kufauru wrtten "" rangi ya maneno ya selected for oral ipoje. Tumeomba wa share picha kwa atakae kua na utayar.ivi kuna " selected for oral " ya rangi ya kijani yote?
Huko juu mbona kama Kuna jamaa alitumaSina hakika ndomana tunaomba waliofanya written status yao ya kwanza after kufauru wrtten "" rangi ya maneno ya selected for oral ipoje. Tumeomba wa share picha kwa atakae kua na utayar.
Hongera sana kijana wangu, am happy for youFinally I made it!
Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion
Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.
Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.
Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.
PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.
Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.
Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.
Join me in celebrating this remarkable history!!
Uyo sasa neno moja tu ndo la kijani""" SELECTED""" maanake amefauru oral, na hatakua na shortlisted kwenye mabadiliko ya status yake, kama mleta hii mada alivo sema in short alimanisha kashapata kazi kama sikumuelewa vibaya.Huko juu mbona kama Kuna jamaa alituma
Mwezi Wa 11 ndio.Naimani hata wewe unasubiri ya November???Tena kama ulifanya Oral mwezi wa 11 pdf liko njia.. mwezi huu zote zitatoka mkuu
Ila mkuu hili neno Fauru lina "l"yaani "faulu" ukiandika hivi itamake sense sana kama Wasomi humu ndani🙏🙏Uyo sasa neno moja tu ndo la kijani""" SELECTED""" maanake amefauru oral, na hatakua na shortlisted kwenye mabadiliko ya status yake, kama mleta hii mada alivo sema in short alimanisha kashapata kazi kama sikumuelewa vibaya.
Mleta hii mada anadai kuwa kama ukifauru written kijani itakuwa kwemye maneno yote ya selected for oral. Ndo tunatafuta ushaid wa picha after written
Hapana MkuuMwezi Wa 11 ndio.Naimani hata wewe unasubiri ya November???
Ulifanya December Nini?Hapana Mkuu
Hyo sio kweli.. kijani inakuwa kwenye neno moja tu SELECTED na linakuwa kwa herufi kubwaUyo sasa neno moja tu ndo la kijani""" SELECTED""" maanake amefauru oral, na hatakua na shortlisted kwenye mabadiliko ya status yake, kama mleta hii mada alivo sema in short alimanisha kashapata kazi kama sikumuelewa vibaya.
Mleta hii mada anadai kuwa kama ukifauru written kijani itakuwa kwemye maneno yote ya selected for oral. Ndo tunatafuta ushaid wa picha after written
Ndio MkuuUlifanya December Nini?
January ya Placements,Bandika Bandua💥💥💥💥💥Tena kama ulifanya Oral mwezi wa 11 pdf liko njia.. mwezi huu zote zitatoka mkuu
Hahahahha yap naelewa atanikiwa naandika najua kuna sehem nime wrong herufi coz nipo nafanya vitu vingi hapa so najitaid kufikisha ujumbe bila kurekebisha kukimbizana na mambo yangu mengine hapa.Ila mkuu hili neno Fauru lina "l"yaani "faulu" ukiandika hivi itamake sense sana kama Wasomi humu ndani🙏🙏
Haya tuendelee na mada yetu
Utulie jamani na status[emoji23][emoji23][emoji23]Uyo sasa neno moja tu ndo la kijani""" SELECTED""" maanake amefauru oral, na hatakua na shortlisted kwenye mabadiliko ya status yake, kama mleta hii mada alivo sema in short alimanisha kashapata kazi kama sikumuelewa vibaya.
Mleta hii mada anadai kuwa kama ukifauru written kijani itakuwa kwemye maneno yote ya selected for oral. Ndo tunatafuta ushaid wa picha after written
Mapambano yaendelee ya kusubiri placements,Huku tukimtanguliza Mungu.Ndio Mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣 mwanasheria akisema mm nani nipinge.Utulie jamani na status[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaah hzo zipo tu mwezi huu wote, kikubwa tusiishiwe bando tu ili tuwe updated.. yaan pdf ikiwekwa ndani ya dakika 2 tushainyakaNasikia harufu ya Placements Leo....
New💥
Hakika hakika,wamwage na ka placement kengine kama Jana.Yaaah hzo zipo tu mwezi huu wote, kikubwa tusiishiwe bando tu ili tuwe updated.. yaan pdf ikiwekwa ndani ya dakika 2 tushainyaka
Yakunle Jana ulisema taasisi zipi zimebaki.