Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

ivi kuna " selected for oral " ya rangi ya kijani yote?
Sina hakika ndomana tunaomba waliofanya written status yao ya kwanza after kufauru wrtten "" rangi ya maneno ya selected for oral ipoje. Tumeomba wa share picha kwa atakae kua na utayar.
 
Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!
Hongera sana kijana wangu, am happy for you
 
Huko juu mbona kama Kuna jamaa alituma
Uyo sasa neno moja tu ndo la kijani""" SELECTED""" maanake amefauru oral, na hatakua na shortlisted kwenye mabadiliko ya status yake, kama mleta hii mada alivo sema in short alimanisha kashapata kazi kama sikumuelewa vibaya.
Mleta hii mada anadai kuwa kama ukifauru written kijani itakuwa kwemye maneno yote ya selected for oral. Ndo tunatafuta ushaid wa picha after written
 
Uyo sasa neno moja tu ndo la kijani""" SELECTED""" maanake amefauru oral, na hatakua na shortlisted kwenye mabadiliko ya status yake, kama mleta hii mada alivo sema in short alimanisha kashapata kazi kama sikumuelewa vibaya.
Mleta hii mada anadai kuwa kama ukifauru written kijani itakuwa kwemye maneno yote ya selected for oral. Ndo tunatafuta ushaid wa picha after written
Ila mkuu hili neno Fauru lina "l"yaani "faulu" ukiandika hivi itamake sense sana kama Wasomi humu ndani🙏🙏
Haya tuendelee na mada yetu
 
Uyo sasa neno moja tu ndo la kijani""" SELECTED""" maanake amefauru oral, na hatakua na shortlisted kwenye mabadiliko ya status yake, kama mleta hii mada alivo sema in short alimanisha kashapata kazi kama sikumuelewa vibaya.
Mleta hii mada anadai kuwa kama ukifauru written kijani itakuwa kwemye maneno yote ya selected for oral. Ndo tunatafuta ushaid wa picha after written
Hyo sio kweli.. kijani inakuwa kwenye neno moja tu SELECTED na linakuwa kwa herufi kubwa
 
Ila mkuu hili neno Fauru lina "l"yaani "faulu" ukiandika hivi itamake sense sana kama Wasomi humu ndani🙏🙏
Haya tuendelee na mada yetu
Hahahahha yap naelewa atanikiwa naandika najua kuna sehem nime wrong herufi coz nipo nafanya vitu vingi hapa so najitaid kufikisha ujumbe bila kurekebisha kukimbizana na mambo yangu mengine hapa.
 
Uyo sasa neno moja tu ndo la kijani""" SELECTED""" maanake amefauru oral, na hatakua na shortlisted kwenye mabadiliko ya status yake, kama mleta hii mada alivo sema in short alimanisha kashapata kazi kama sikumuelewa vibaya.
Mleta hii mada anadai kuwa kama ukifauru written kijani itakuwa kwemye maneno yote ya selected for oral. Ndo tunatafuta ushaid wa picha after written
Utulie jamani na status[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom