Hshaha bado sisi dear,Mungu akatuone[emoji38][emoji1787][emoji38][emoji38]sijui nacheka nini
Na wish jina Lake lionekane kwenye placement huyu wizy, aje na ushuhuda hapa afunguke vizuri.. Namna hekaheka za mikando zilivomfanya had akabadili jina[emoji1787]Utulie jamani na status[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2088]Mimi hata mchumba sina
Hongera, fani gani mkuu?Nami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.
Unaenda wap yesamrich 😂😂[emoji2088]
Jamaa Obviously ametumotevate sana vijana wenzie humu kwa kiasi kikubwa kwa madini Mbalimbali. Uungwana alikuwanao pia umefanya watu waapreciate mafanikio aliyoyapata.Wengi sana wamelamba asali lakini JIULIZE, kwanini wengi wamefurahi juu yako?......inafanya kaz nzuri
Hakika Natamani nije kuona na huyu mwamba one dayJamaa Obviously ametumotevate sana vijana wenzie humu kwa kiasi kikubwa kwa madini Mbalimbali. Uungwana alikuwanao pia umefanya watu waapreciate mafanikio aliyoyapata.
Pia kitu ambacho niliona ni Cha kitofauti sana kwa jamaa tofauti na wengi wetu tuliopo humu kuwa jamaa alikuwa muwazi sana, kashakandwa saili kibao Ila hakusita kuleta mrejesho humu hii ilionesha kuwa jamaa ana ukomavu wa hali ya juu sana na hii ilipelekea baadhi ya watu hata kumwonea huruma na kumwombea japo kwa saili moja hii aliyofanikiwa kuingia Oral basi Mungu amtendee miujiza na kweli Mungu katenda.
Bila kusahau kuwa Mwifwa hana wivu licha ya yeye kukandwa na kupoteza mafanikio ya kupata kazi bado alizidi kuwapongeza wale waliokuwa wanafanikiwa na kuwatakia majukumu mema..
Hii iko poa sana, Mungu atutendee miujiza wote humu kwenye hii safari yetu tufike salam
Nilifanyaga december mwaka jana, bado iko hivyoView attachment 2476183
Hongera sanaHongera, fani gani mkuu?
Kivipi°Utumishi wanazingua wanawaambia nafasi za kazi ni 180s halafu wanaajiri 109
[emoji23][emoji23][emoji23], hatari sanaa kwamba hiyo ni assignment kwa wizy a.k.a....Wizy ukitoka job uje utoe muongozo huku.
Ebu weka job descriptions zake, wizy akija aruke nazo kwa muongozo
° Walitangaza nafasi za kazi 82 za NPS lakini wameajiri 73, pia Walitangaza nafasi za kazi 110 za Wakili wa serikali ofisi ya OSG Lakini wameajiri 36 tu, swali ni kwamba hao waliobaki 74 wa OSGB, na 9 wa NPS wameenda wapi? au wanataka kuchomeka watu wao wa Pembeni.Kivipi
Mmoja ana kluger mwingine Subaru Forester!!!!!!😂😂😂😂Hakika Natamani nije kuona na huyu mwamba one day
°Kuna dalili ya Uonevu NPS walisema nafasi ni 82 ila wamechukua 73, hao 9 wameenda wapi? Au washachomekwa.Mimi toka jana naugulia maumivu ya kukandwa nikashindwa hata kuwapongeza waliopata......sijaamini bado kuwa nimekosa nafasi zile za NPS. Ha ha ha. Written nilifanya fresh kabisa, na huko oral sijui nini kilibadilika...
Anyway ndiyo life hilo...maisha lazima yaendelee. Hongereni mliopata mrija wa asali. Jina la Mungu lipewe sifa.
Woow congratulations [emoji322][emoji122][emoji322]Finally I made it!
Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion
Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.
Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.
Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.
PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.
Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.
Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.
Join me in celebrating this remarkable history!!
Pole sana advocate upo kanzidata na kazi zipo....Mimi toka jana naugulia maumivu ya kukandwa nikashindwa hata kuwapongeza waliopata......sijaamini bado kuwa nimekosa nafasi zile za NPS. Ha ha ha. Written nilifanya fresh kabisa, na huko oral sijui nini kilibadilika...
Anyway ndiyo life hilo...maisha lazima yaendelee. Hongereni mliopata mrija wa asali. Jina la Mungu lipewe sifa.
Mayb from database° Walitangaza nafasi za kazi 82 za NPS lakini wameajiri 73, pia Walitangaza nafasi za kazi 110 za Wakili wa serikali ofisi ya OSG Lakini wameajiri 36 tu, swali ni kwamba hao waliobaki 74 wa OSGB, na 9 wa NPS wameenda wapi? au wanataka kuchomeka watu wao wa Pembeni.
Hapana, wengine walichukuliwa kabla ya pepa kutokana na uharaka, kumbuka kaz hiz zilikaa mda mrefu°Kuna dalili ya Uonevu NPS walisema nafasi ni 82 ila wamechukua 73, hao 9 wameenda wapi? Au washachomekwa.
°kuna uwezekani mkubwa ukawa umeonewa kwenye ORAL