Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wengi sana wamelamba asali lakini JIULIZE, kwanini wengi wamefurahi juu yako?......inafanya kaz nzuri
Jamaa Obviously ametumotevate sana vijana wenzie humu kwa kiasi kikubwa kwa madini Mbalimbali. Uungwana alikuwanao pia umefanya watu waapreciate mafanikio aliyoyapata.
Pia kitu ambacho niliona ni Cha kitofauti sana kwa jamaa tofauti na wengi wetu tuliopo humu kuwa jamaa alikuwa muwazi sana, kashakandwa saili kibao Ila hakusita kuleta mrejesho humu hii ilionesha kuwa jamaa ana ukomavu wa hali ya juu sana na hii ilipelekea baadhi ya watu hata kumwonea huruma na kumwombea japo kwa saili moja hii aliyofanikiwa kuingia Oral basi Mungu amtendee miujiza na kweli Mungu katenda.

Bila kusahau kuwa Mwifwa hana wivu licha ya yeye kukandwa na kupoteza mafanikio ya kupata kazi bado alizidi kuwapongeza wale waliokuwa wanafanikiwa na kuwatakia majukumu mema..

Hii iko poa sana, Mungu atutendee miujiza wote humu kwenye hii safari yetu tufike salam
 
Jamaa Obviously ametumotevate sana vijana wenzie humu kwa kiasi kikubwa kwa madini Mbalimbali. Uungwana alikuwanao pia umefanya watu waapreciate mafanikio aliyoyapata.
Pia kitu ambacho niliona ni Cha kitofauti sana kwa jamaa tofauti na wengi wetu tuliopo humu kuwa jamaa alikuwa muwazi sana, kashakandwa saili kibao Ila hakusita kuleta mrejesho humu hii ilionesha kuwa jamaa ana ukomavu wa hali ya juu sana na hii ilipelekea baadhi ya watu hata kumwonea huruma na kumwombea japo kwa saili moja hii aliyofanikiwa kuingia Oral basi Mungu amtendee miujiza na kweli Mungu katenda.

Bila kusahau kuwa Mwifwa hana wivu licha ya yeye kukandwa na kupoteza mafanikio ya kupata kazi bado alizidi kuwapongeza wale waliokuwa wanafanikiwa na kuwatakia majukumu mema..

Hii iko poa sana, Mungu atutendee miujiza wote humu kwenye hii safari yetu tufike salam
Hakika Natamani nije kuona na huyu mwamba one day
 
Mimi toka jana naugulia maumivu ya kukandwa nikashindwa hata kuwapongeza waliopata......sijaamini bado kuwa nimekosa nafasi zile za NPS. Ha ha ha. Written nilifanya fresh kabisa, na huko oral sijui nini kilibadilika...

Anyway ndiyo life hilo...maisha lazima yaendelee. Hongereni mliopata mrija wa asali. Jina la Mungu lipewe sifa.
 
Mimi toka jana naugulia maumivu ya kukandwa nikashindwa hata kuwapongeza waliopata......sijaamini bado kuwa nimekosa nafasi zile za NPS. Ha ha ha. Written nilifanya fresh kabisa, na huko oral sijui nini kilibadilika...

Anyway ndiyo life hilo...maisha lazima yaendelee. Hongereni mliopata mrija wa asali. Jina la Mungu lipewe sifa.
°Kuna dalili ya Uonevu NPS walisema nafasi ni 82 ila wamechukua 73, hao 9 wameenda wapi? Au washachomekwa.
°kuna uwezekani mkubwa ukawa umeonewa kwenye ORAL
 
Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!
Woow congratulations [emoji322][emoji122][emoji322]

Big up Sana champ


Wewe Ni mshindi Sana umeweza kuwa Mwalimu wa wengi

Congratulations again [emoji322][emoji122]
 
Mimi toka jana naugulia maumivu ya kukandwa nikashindwa hata kuwapongeza waliopata......sijaamini bado kuwa nimekosa nafasi zile za NPS. Ha ha ha. Written nilifanya fresh kabisa, na huko oral sijui nini kilibadilika...

Anyway ndiyo life hilo...maisha lazima yaendelee. Hongereni mliopata mrija wa asali. Jina la Mungu lipewe sifa.
Pole sana advocate upo kanzidata na kazi zipo....
 
° Walitangaza nafasi za kazi 82 za NPS lakini wameajiri 73, pia Walitangaza nafasi za kazi 110 za Wakili wa serikali ofisi ya OSG Lakini wameajiri 36 tu, swali ni kwamba hao waliobaki 74 wa OSGB, na 9 wa NPS wameenda wapi? au wanataka kuchomeka watu wao wa Pembeni.
Mayb from database
 
Back
Top Bottom