Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mandonga mtu kazi huwa anashinda kabla ya kupanda ulingoni na ushindi wake wa nje ya ulingo huwa haupinduliwi na kimbwengo cha ulingoni.

Hii technic sijui tunawezaje kuiapply kwa PSRS
 
😂😂😂😂Pspr wale kama shabani kaoneka wanamazoezi makali sana hahhhh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pspr wale kama shabani kaoneka wanamazoezi makali sana hahhhh
Kuna dada mmoja wa PSRS kashanikariri tangu aliponikagua DUCE, na leo kanikagua. Aliponiangalia tu usoni hakuhangaika kivile kuangali vyeti.

Naomba nifike oral(ndoto) nikampige sound kabla ya pambano naweza kuchomoka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].

Naona kilichofanya anikariri sana kwa sababu kule DUCE nilivaa open shoes halafu wakati ananikagua vyeti alinisemesha kuhusu open shoes mimi nikawa nimetulia zangu serious[emoji3][emoji3][emoji3].

Siku hiyo nilikuwa na hasira ya kukandwa CIVE siku zilizopita, sikuhangaika hata kuwa smart, nilichomoka zangu simple nikaenda kukandwa vile vile..
 
😂😂😂😂😂Hizi interview zitatuua mwaka huu yani asaivi nshazizoea tu nikikandwa au nikiwakanda fresh tu chamuhimu wanakuwa wamenimalizia nauli tu uhai bado nakuwa nao
 
watu wanaovaaga simple sana kweny written maana ake wanauzoeefu sana na paper za UTUMISHI.

maana interview yangu ya 3 niliendaga na jezi ya Man U. iknipa laana ya kukandwaaa
 
watu wanaovaaga simple sana kweny written maana ake wanauzoeefu sana na paper za UTUMISHI.

maana interview yangu ya 3 niliendaga na jezi ya Man U. iknipa laana ya kukandwaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa tunasema lolote likitokea sawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…