Naamini wakati huu lazima ufike oral mkuuWote waliofika oral tuendelee kuwaombea mazuri zaidi maana wametika kwenye last stage.
Na wale ambao bado hajawahi kufika oral, tuendelee kuwaombea pia wafike hiyo hatua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini wakati huu lazima ufike oral mkuuWote waliofika oral tuendelee kuwaombea mazuri zaidi maana wametika kwenye last stage.
Na wale ambao bado hajawahi kufika oral, tuendelee kuwaombea pia wafike hiyo hatua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maswali yalikua magumu ya oral labda muujiza wa Mungu utendeke maana nikigoogle naona nilijibu chenga tu afu kibaya wakati natoka kuna mwamba akawa kama anacheka hivi asa apo si tayari nishadandia boti ya mandonga[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Pspr wale kama shabani kaoneka wanamazoezi makali sana hahhhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mandonga mtu kazi huwa anashinda kabla ya kupanda ulingoni na ushindi wake wa nje ya ulingo huwa haupinduliwi na kimbwengo cha ulingoni.
Hii technic sijui tunawezaje kuiapply kwa PSRS
Itakuwa miujiza sana mkuuNaamini wakati huu lazima ufike oral mkuu
Chamuhimu tu kama umejaza maswali yote hapo freshItakuwa miujiza sana mkuu
Kuna dada mmoja wa PSRS kashanikariri tangu aliponikagua DUCE, na leo kanikagua. Aliponiangalia tu usoni hakuhangaika kivile kuangali vyeti.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pspr wale kama shabani kaoneka wanamazoezi makali sana hahhhh
😂😂😂😂😂Hizi interview zitatuua mwaka huu yani asaivi nshazizoea tu nikikandwa au nikiwakanda fresh tu chamuhimu wanakuwa wamenimalizia nauli tu uhai bado nakuwa naoKuna dada mmoja wa PSRS kashanikariri tangu aliponikagua DUCE, na leo kanikagua. Aliponiangalia tu usoni hakuhangaika kivile kuangali vyeti.
Naomba nifike oral(ndoto) nikampige sound kabla ya pambano naweza kuchomoka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Naona kilichofanya anikariri sana kwa sababu kule DUCE nilivaa open shoes halafu wakati ananikagua vyeti alinisemesha kuhusu open shoes mimi nikawa nimetulia zangu serious[emoji3][emoji3][emoji3].
Siku hiyo nilikuwa na hasira ya kukandwa CIVE siku zilizopita, sikuhangaika hata kuwa smart, nilichomoka zangu simple nikaenda kukandwa vile vile..
watu wanaovaaga simple sana kweny written maana ake wanauzoeefu sana na paper za UTUMISHI.Kuna dada mmoja wa PSRS kashanikariri tangu aliponikagua DUCE, na leo kanikagua. Aliponiangalia tu usoni hakuhangaika kivile kuangali vyeti.
Naomba nifike oral(ndoto) nikampige sound kabla ya pambano naweza kuchomoka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Naona kilichofanya anikariri sana kwa sababu kule DUCE nilivaa open shoes halafu wakati ananikagua vyeti alinisemesha kuhusu open shoes mimi nikawa nimetulia zangu serious[emoji3][emoji3][emoji3].
Siku hiyo nilikuwa na hasira ya kukandwa CIVE siku zilizopita, sikuhangaika hata kuwa smart, nilichomoka zangu simple nikaenda kukandwa vile vile..
😂😂😂😂Walikukanda kama magwayawatu wanaovaaga simple sana kweny written maana ake wanauzoeefu sana na paper za UTUMISHI.
maana interview yangu ya 3 niliendaga na jezi ya Man U. iknipa laana ya kukandwaaa
Hahahahaa, kikubwa wasitumalizie uhai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi interview zitatuua mwaka huu yani asaivi nshazizoea tu nikikandwa au nikiwakanda fresh tu chamuhimu wanakuwa wamenimalizia nauli tu uhai bado nakuwa nao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu wanaovaaga simple sana kweny written maana ake wanauzoeefu sana na paper za UTUMISHI.
maana interview yangu ya 3 niliendaga na jezi ya Man U. iknipa laana ya kukandwaaa
Ndo ivo 😂😂😂😂Hahahahaa, kikubwa wasitumalizie uhai
Kimyaaaaa!!!! [emoji848]Ndo ivo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Place imetoka ya BUNGE.. lakini ya PSRS naona badooo..Mkuu hapa ulijua ku-bet, leo jumamosi placement imetoka ingawa sio inayotegemewa na wengi.
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
PSRS wanatakiwa waachiie leo au kesho mkeka umekaaa sanaa toka June mpk September hii
Huyu yupo jikoni alisema jumamosi kuna placementMkuu hapa ulijua ku-bet, leo jumamosi placement imetoka ingawa sio inayotegemewa na wengi.
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
japo placement iliyotokaaa siyo tuliyotegemeea kama UZI unavyoo eleza [emoji28][emoji28][emoji28]Huyu yupo jikoni alisema jumamosi kuna placement
Taasisi placement zao hazisumbui.Huyu yupo jikoni alisema jumamosi kuna placement
Kweli ila hawa bunge pia wapo waliofanya mwezi wa sita bado nadhani majibujapo placement iliyotokaaa siyo tuliyotegemeea kama UZI unavyoo eleza [emoji28][emoji28][emoji28]
Changamoto sijui ni nini kwakweliTaasisi placement zao hazisumbui.
Sasa MUST na MUHAS wameita watu kwenye Interview, mwezi wa kumi hauishi watu wataitwa makazini.
Hizi zingine ambazo PSRS wanazisimamia kwa 100% ndio zinachelewa sana