Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Usikate tamaa hakika ipo siku utafanikiwa
 
Hongera sana mkuu, Mungu mwema
 
Hongera sana mkuu, mnazidi kutupa matumaini na sisi ambao tulikuwa tumekata Tamaa.
 
Hata kama ni kwenye database walitakiwa kutangazwa na kuwekwa kwenye PDF Moja na sio kimagumashi
Kuna rafiki angu tulifanya wote usaili MDA, Sa kabla ata placement za MDA hazijatoka akapata kazi legal officer halmashauri fulan, na hajawi fanya interview yoyote tofauti na hizi, na hiyo placement ilitoka nahisi December mwanzoni.
 
Hongera sana kaka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…