Mwaisa1202
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 482
- 1,076
Hivi hao waalimu wana fanya kazi ipi?Watu Wengi wanajua Auditing ni Accounting and finance, Auditing ni kitu kipana Sana, na Kuna Auditing ambazo ziko very specific eg Pharmacy, Medical, Water resources,Ujenzi, ndio maana unakuta NAOT Kuna engineers,MD,Teachers, Pharmacists, Quantity Surveyors
[emoji16][emoji16] kaambiwa gusa kote...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]na shoo jana ukapewa yakibabe kabisa
Ukaguzi unahusisha Elimu pia, nadhani mwalimu ni mtu sahii hapo.Hivi hao waalimu wana fanya kazi ipi?
OkUkaguzi unahusisha Elimu pia, nadhani mwalimu ni mtu sahii hapo.
Upande wa Afya, mojawapo ya muongozo wa Auditing ndio huu.View attachment 2476558
Nasubr jibuShukrani mkuu, itakuwa huu muongozo utakuwa upo wa kila kada sio?
Mfano kada ni Mchumi, soma mambo ya hiyo kada ya Uchumi, notes za darasani na notes za practise, elewa pia job description humo humo kuna maswali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwamba kaambiwa,,babaa kula utakavyo mimi ni wako peke yako[emoji16][emoji16] kaambiwa gusa kote...
Kibonde wa Psrs kaibuka mshindi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa ndio nimejua kwa nini akina Ahmet meck pro baraka amos Cvez walikuwa na furaha na hawakupata usingizi
Nasubr jibu
Hongera sanaaaaFinally I made it!
Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion
Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.
Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.
Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.
PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.
Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.
Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.
Join me in celebrating this remarkable history!!
Huu msumari ni wa zaidi ya inch 6 sasa[emoji122]-Yeah hebu chukua mfano rahisi unataka kujua ufanisi wa Machine ya MRI,CT SCAN, ukiwa umesomea Accounting utaweza kujua ufanisi wa hizo machine? Hapo automatically atahitajika Biomedical engineer ndio ataweza kujua efficiency ya hizo machine
Fanya kuelewa haraka sasa, mood ya kwenda kwa wakandaji kuchukua barua ipo kwenye peak hapa na usije ukakanyaga waya bure[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa mbaaaaaali naanza elewa,
Kitaa ni pagumu huwa hatukatai chochote tunachopata maana ukisusa mwenzako anakulaHapo saaafi,huku unaendelea kuvuta salary
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku nikilamba asali nitashinda baharini nikipishana na samaki....