Pole sana, Mungu aepushe hilo.Shetan ana majarbu yan naanza kuumwa halaf nna pepa jpili🥲. Ee Mungu naomba unisimamie,maombi yenyu wadau.
Ahsante sana mkuu, ushindi tumeanza kuusherehekea tangu juzi usiku. Pole pia kwa kutingwa, ndio life hilo.Daaah siku online hizi siku 2,naingia website naona placement za NAOT nimekuja mbio huku japo nna muda finyu kuja kuuliza taarifa zako,aisee nimekutana na habari njema sana mwifwa..umeupiga mwingi broo and and am happy for you..Sina shaka kwamba utakua mtumishi mwema kabisa.once again hongera mkuuu umeufikia mrija
Ameen,asante,sikuwaza kwenda hosptal mpaka nxt week inaweza kua homa ya mpito tu ila jion ntaenda kuchek kama kuna shda yyt.Pole sana, Mungu aepushe hilo.
Endelea na maandalizi, Mungu hawezi kumtupa mja wake.
Pia ufanye follow up ya Afya mapema
Hahahaha, mimi nataka nikapige ndege 2 kwa jiwe moja.[emoji23][emoji23][emoji23] Kuchukua barua ni zoezi rahisi sana hata dakika Tano hazifiki, Mimi suti hata sikuvaa
Ndio yenyewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ile ya blue eeh[emoji1787]
Ni vizuri ukacheki mapema ili uweze kujipangaAmeen,asante,sikuwaza kwenda hosptal mpaka nxt week inaweza kua homa ya mpito tu ila jion ntaenda kuchek kama kuna shda yyt.
Yeah, nenda ukaione masijala ya wazi😂Hahahaha, mimi nataka nikapige ndege 2 kwa jiwe moja.
Nikiichukua naipitisha hapo Tambuka reli, narudi kuja kusikilizia waya/simu
Unapata mkuu, nakutumia no PM50k-100k needed
Kaka angu ntafanya juu chini ofisini uingie na saa[emoji3]Yaani hayo majina yote ni mageni kwangu, labda kwa sababu sivaagi saa.
Pole sana dear, fanya michakato ya matibabu mapemaAmeen,asante,sikuwaza kwenda hosptal mpaka nxt week inaweza kua homa ya mpito tu ila jion ntaenda kuchek kama kuna shda yyt.
Pole sana Madam MUNGU NI MWEMA na usahili utashinda, nakumbuka kwenye sahili zote mbili writen na oral mwishoni mwa november niliumwa tumbo sana ila MUNGU alivyo mkuu aliniwezesha kuzifanya zote mbili... MTUMAINI YEYE TU KWA IMANIShetan ana majarbu yan naanza kuumwa halaf nna pepa jpili🥲. Ee Mungu naomba unisimamie,maombi yenyu wadau.
BILABLA HADI SAIVIHamna placement huko Leo??
Asante dear ntafanya hivo.Pole sana dear, fanya michakato ya matibabu mapema
Sawa ntafanya hivoNi vizuri ukacheki mapema ili uweze kujipanga
Ameeen,asante. Kwa kwel namwomba Mungu mpaka jpil niwe nishaponaPole sana Madam MUNGU NI MWEMA na usahili utashinda, nakumbuka kwenye sahili zote mbili writen na oral mwishoni mwa november niliumwa tumbo sana ila MUNGU alivyo mkuu aliniwezesha kuzifanya zote mbili... MTUMAINI YEYE TU KWA IMANI
AMENAmeeen,asante. Kwa kwel namwomba Mungu mpaka jpil niwe nishapona
umemeEngineer wa nini?
Pole kipenziShetan ana majarbu yan naanza kuumwa halaf nna pepa jpili🥲. Ee Mungu naomba unisimamie,maombi yenyu wadau.