Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahahahahaha hahahaha hahahaha 😂😂😂😂😂😂
 
Hongera sana Mwifwa
 
Hivi kwanini kwenye saili za kuandika hivi karibuni jobless wa Kanda ya Kaskazini hawafanyi saili Kaskazini wamafanya Dodoma?
Tatizo liko wapi?
Inawezekana ni rahisi kufikika Dom au bado wapo kwenye plan ya kuanzisha hiyo kanda
 
Hivi kwanini kwenye saili za kuandika hivi karibuni jobless wa Kanda ya Kaskazini hawafanyi saili Kaskazini wamafanya Dodoma?
Tatizo liko wapi?

1. Uchache wa mikoa ktk kanda hyo ukilinganisha na kanda nyingine.

2. Ukaribu na na Dodoma ambayo ndio makao makuu ya kanda ya kati.
 
NI KWELI Kabisa ukiangalia umbali kutoka rombo hadi dodoma sio wa kitoto walau watuwekee hapo arusha sisi wahuku kaskazini asee sio poa , mimi Niko moshi kuja tu dom inanigharimu sio chini ya laki pamoja na kurudi. KWELI UTUMISHI WATUANGALIE
ARUSHA ITAKUA POA SANA KASKAZINI NI KUBWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…