Kwa kweli khaaaaSasa kasomee certificate ya manners ndo umeikosa hapo.
Ni kweli mnyampaa, ajira yangu ni ya term ya kwanza ya JKAhsante sana mkuu. Muda ndio huwa unadetermine mambo, kwa sasa hilo haliwezekani ukizingatia mfumo wa ajira tuliorisishwa na Mzee wa Chattle pia unapigilia msumari.
Binafsi nipo kwenye early 30, mfumo usingetikiswa ningeingia kwenye mrija nikiwa kwenye late 20.
This is all about God's plan, tunapaswa kushukuru pia
Omba Mungu upangiwe makao makuu hapo, utakula per diem za kutosha.Ahsante sana mkuu, hilo la kukosa halishindikani pia, mambo hayatabiriki.
Kikubwa tushukuru pale mambo yanapoenda vyema
Hongera mwamba!Email ✉️📨
Shabiby yupo na gari Rombo to Dom kila siku.Rombo to Moshi town,then to Dodomya, aise ni hatar na nusu
Hapana 😂😂[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]najua hata kwa kijana hovyo rikiboy napo lazima upite
Mkuu sio kuangalia uwepo wa usafiri ishu ni gharama haswa kwa mtu ambaye ni joblessShabiby yupo na gari Rombo to Dom kila siku.
Prok ni lawyer kama ndio nimfate PM na Mimi anipigie muhuri.Mimi nakuja PM unisaidie kucertify vyeti vyangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Wewe ni kama Mimi tuSijakuelewa hapa kaka. Mie cheti cha form 4, form 6 na chuo vyote ni majina mawili tu hakuna initial wala nini katikati yaani linasomeka JANUARY YUSUPH. Ila Nida na cheti cha kuzaliwa majina matatu yaani JANUARY YUSUPH MAKAMBA. lakini sijawai zuiwa hata mara moja iwe oral au written
Hio uredi italeta shida.Niliwahi ona case humu nahofia tarehe 17 wakanizingua na mimi
Jina cheti 4 na 6 liwe labda Punje Haradari
Jina la kitambulisho cha mpiga kura na kwenye address zote za utumishi liwe Punje Haradari Mkandwaji
Kwenye cheti cha kuzaliwa Punje Haradari
Na kwenye majina ya mzazi kwenye cheti cha kuzaliwa ni Haradari Uredi ( Mkandwaji halipo)
Dah jamaaa yangu kanikimbia mkuu🤣Hongera mwamba!
Sema mwanao Wizy kasepa ndio ilikua sasa hivi mnaelekea Yard kuulizia magari
Ufundi unalipa sanaAmna ni VETA huyo mkuu hawezi fika huko af hana masters.
Hahahah Mkuu umetisha kwa ufafanuzi mzuri.
Utasikia "Ukiwa na shida za kujua ABC za NAOT, wewe niPM tu" (jokes)
Privacy tuipe kipaumbele, hili halishindikani na wazo hili linaweza kutekelezeka vizuri tu.
Nafahamiana na watu humu nje ya JF na sijawahi kupata negative impact ya kufahamiana nao, na baadhi yao wamekuwa msaada kwangu
Yes I am. KaribuProk ni lawyer kama ndio nimfate PM na Mimi anipigie muhuri.
Mimi ni Jobful am seeking new challenges.
hahahahahahaha hahahaha hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787]Hahahahahaha! Jobless wamejiajiri bila malipo kuifuatilia kwa makini website ya psrs.