Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!
Pongezi kwako Mwifwa ,,aisee sijajuta kukutana na ww humu JF
We ni mtu kazi ,wakt umekandwa ulikuwa unawatia moyo pia waliokandwa ,,hata umefanikiwa kuwakanda ,utaendelea kuwatia moyo Majobless

Siri ni kutokukata Tamaa nikuinuka ukianguka ,,kwenda hizi interview zinatupa experience kubwa sana ,Leo unaweza usitoboe ,lkn kwa sababu imekujenga kesho UTATOBOA Maana unajua wap pa kupita kuufikia mrija wa Asali ...pongezi kwako bro ...
Ukawe mtumishi mzuri kwa wananchi [emoji122][emoji122]
 
Pongezi kwako Mwifwa ,,aisee sijajuta kukutana na ww humu JF
We ni mtu kazi ,wakt umekandwa ulikuwa unawatia moyo pia waliokandwa ,,hata umefanikiwa kuwakanda ,utaendelea kuwatia moyo Majobless

Siri ni kutokukata Tamaa nikuinuka ukianguka ,,kwenda hizi interview zinatupa experience kubwa sana ,Leo unaweza usitoboe ,lkn kwa sababu imekujenga kesho UTATOBOA Maana unajua wap pa kupita kuufikia mrija wa Asali ...pongezi kwako bro ...
Ukawe mtumishi mzuri kwa wananchi [emoji122][emoji122]
Ahsante sana mkuu, ni kweli ukikandwa mara kadhaa unapata uzoefu, siku ukiwabahatisha unawalaza na viatu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ahsante sana mkuu, ni kweli ukikandwa mara kadhaa unapata uzoefu, siku ukiwabahatisha unawalaza na viatu[emoji3][emoji3][emoji3]
Maana watakuwa wameingia kweny anga zako ,unajua watakuja hv ,nitawashikia hapa baada ya uzoefu wa NYUMA kukupiga...[emoji122]
 
Back
Top Bottom