Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

naunga mkono hoja
 
Uko sahihi mkuu
 
Ni kweli mnyampaa, ajira yangu ni ya term ya kwanza ya JK
Mlikuwa na bahati sana kwenye utawala wa JK. Hata kipindi hicho hakukuwa na shamrashamra sana mtu ukipata kazi ukilinganisha na sasa.

Ona sasa tunavyofurahi kupitiliza pindi mtu akipata kazi. Kila wakati na majambo yake
 
Mlikuwa na bahati sana kwenye utawala wa JK. Hata kipindi hicho hakukuwa na shamrashamra sana mtu ukipata kazi ukilinganisha na sasa.

Ona sasa tunavyofurahi kupitiliza pindi mtu akipata kazi. Kila wakati na majambo yake
Acha tu mkuu kipind ch jk watu hawakua na tension kubwa kiasi hiki kz imekua kama jiwe la dhahabu ukilipata meno yote nje furaha isiyo na kifani....kwa kwel zama zinabadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…