Anasherehekea Mapinduzi dayMzee wa flash leo cjui atapandsha mzigo[emoji23]
Pamoja sana mkuuAsante sana mtaalamu, umelitengeneza vizuri wazo letu.
Sawa mkuu, Ahsante kwa msisitizoWatu wakachukue barua placement jengine lidondoshwe
😂😂😂 Hahaa naonaga unatrend tu lakini sio mpenzi wa huo uziWasomi wa Cuba tushapigia mstari jibu[emoji3][emoji3][emoji3]
Watu wanachota mbinu za maangamizi kule[emoji23][emoji23][emoji23] Hahaa naonaga unatrend tu lakini sio mpenzi sana wa huo uzi
Huyo ni muha mzee!Mtu kama mwifwa kwenye normal life pia inaonekana huwa huelew,
Kijana kama huyu huwa haelew kabisa nahisi hadi maisha halisi ya kitaa mwamba ni mgumu kuelewa. JAMAN MM SIO WIZYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYY
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yeah kama wameweza kusema wana uhakika mim ni wizy 100% sijui kama watakuelewa ukisema hajapata.
Mzee wa Subaru katulia zake chimboHahahahaha.
Mzee wa Subaru kayeyuka huku akiweweseka kimlumbi mlumbi
Kuna nyuzi ngingi za hovyo sana, Kuna ile ya picha za warembo duniani🤣🤣 ingawa Mimi napita tu hata siingiiWatu wanachota mbinu za maangamizi kule
Mwamba kaona isiwe kesiDah jamaaa yangu kanikimbia mkuu🤣
Ale tu maisha mkuu, kaupambania mrija wa Asali sanaMzee wa Subaru katulia zake chimbo
Pongezi kwako Mwifwa ,,aisee sijajuta kukutana na ww humu JFFinally I made it!
Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion
Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.
Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.
Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.
PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.
Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.
Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.
Join me in celebrating this remarkable history!!
Hahahaaa, nilikuwaga napita kule zamani, kwa sasa nimeacha muda sanaKuna nyuzi ngingi za hovyo sana, Kuna ile ya picha za warembo duniani[emoji1787][emoji1787] ingawa Mimi napita tu hata siingii
Ahsante sana mkuu, ni kweli ukikandwa mara kadhaa unapata uzoefu, siku ukiwabahatisha unawalaza na viatu[emoji3][emoji3][emoji3]Pongezi kwako Mwifwa ,,aisee sijajuta kukutana na ww humu JF
We ni mtu kazi ,wakt umekandwa ulikuwa unawatia moyo pia waliokandwa ,,hata umefanikiwa kuwakanda ,utaendelea kuwatia moyo Majobless
Siri ni kutokukata Tamaa nikuinuka ukianguka ,,kwenda hizi interview zinatupa experience kubwa sana ,Leo unaweza usitoboe ,lkn kwa sababu imekujenga kesho UTATOBOA Maana unajua wap pa kupita kuufikia mrija wa Asali ...pongezi kwako bro ...
Ukawe mtumishi mzuri kwa wananchi [emoji122][emoji122]
Hahaa vijana wa hovyoHahahaaa, nilikuwaga napita kule zamani, kwa sasa nimeacha muda sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaa vijana wa hovyo
tusubiri jibu hahahaaYaan huyu na mimi ilibidi apate pepsi ya baridi na jua hili, jibu zuri sana[emoji3]
Maana watakuwa wameingia kweny anga zako ,unajua watakuja hv ,nitawashikia hapa baada ya uzoefu wa NYUMA kukupiga...[emoji122]Ahsante sana mkuu, ni kweli ukikandwa mara kadhaa unapata uzoefu, siku ukiwabahatisha unawalaza na viatu[emoji3][emoji3][emoji3]
Daaah! Hii lunch naomba unitunzie.Mkuu unapatikana wapi nikupe lunch leo