Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nimegundua kitu kuhusu hizi placements.

Yaani zinapitia hatua ndefu hadi zije zitoke ndio maana tunaona zinachelewa sana.

Barua zetu zimeandikwa tarehe 8/12/2022(mwezi mmoja baada ya Oral) halafu placement imetoka tarehe 9/1/2023(mwezi mmoja baada ya barua kauandaliwa).

Je hiyo interval ya mwezi mmoja mmoja, nini huwa kinafanyika?

Turejee kanuni zao.

Baada ya Oral matokeo hukusanywa/alama zinakusanywa zinakuwa compile sehemu moja kama oral ilifanyika sehemu tofauti tofauti(yaani PSRS na Zenji). Then Mwenyekiti wa jopo la Panelist atakabidhiwa hayo matokeo na yeye atayawasilisha kwenye Board ili placement zikapangwe kulingana na ufaulu wa oral.(hapo mwezi ushakatika).

Mwezi mwingine inakuja suala la kusainiwa, Hapa mzee Kitenge atatenga muda wa kuzisaini barua zote zilizoandaliwa, hadi kumaliza mwezi ushakatika.

Baada ya hapo ndio zamu ya placements inafika, ikitoka tu barua ziko tayari ndio maana kuchukua barua haichukui muda ni dk chache tu.

Kwa hiyo mnaosubiri placement inabidi mtambue hilo na subira ndio silaha ya kuishi nayo katika hicho chote
Kumbe ndo ivyo sikuelewa hii kitu , kusaini barua za placement zote sio mchezo ukizingatia ni yeye pekee wa kuzisaini
 
Niliona kwenye Placements wameishia hadi mwezi Wa kumi na Moja.Je mfano wale watu wa RUWASA waliofanya tarehe 28/11 inaweza chukua hadi lini Majina kutoka
Tubeti kwenye hii interval ya mwezi mmoja mmoja tu.

Hizi ni nadharia tunazojaribu kuziibua kuhusiana na placements maana jibu kamili bado halijapatikana la "Kwa nini placements zinachukua miezi ndipo zitoke?"
 
Naona hizi ajira za mkataba mfupi kwa electrical technicians REA wanafanya interviews kikanda ,vipi ndio utaratibu mpya kwamba Sahili zote za utumishi zitakuwa zinapigwa kikanda au ni baadhi ya sahili tu ?,maana naona kuna zile za taasisi flani za serikali pia siku chache nyuma hapo kama sikosei zilipigwa kikanda .
Mwenye uhakika na hili jambo naomba majibu
 
Nimegundua kitu kuhusu hizi placements.

Yaani zinapitia hatua ndefu hadi zije zitoke ndio maana tunaona zinachelewa sana.

Barua zetu zimeandikwa tarehe 8/12/2022(mwezi mmoja baada ya Oral) halafu placement imetoka tarehe 9/1/2023(mwezi mmoja baada ya barua kauandaliwa).

Je hiyo interval ya mwezi mmoja mmoja, nini huwa kinafanyika?

Turejee kanuni zao.

Baada ya Oral matokeo hukusanywa/alama zinakusanywa zinakuwa compile sehemu moja kama oral ilifanyika sehemu tofauti tofauti(yaani PSRS na Zenji). Then Mwenyekiti wa jopo la Panelist atakabidhiwa hayo matokeo na yeye atayawasilisha kwenye Board ili placement zikapangwe kulingana na ufaulu wa oral.(hapo mwezi ushakatika).

Mwezi mwingine inakuja suala la kusainiwa, Hapa mzee Kitenge atatenga muda wa kuzisaini barua zote zilizoandaliwa, hadi kumaliza mwezi ushakatika.

Baada ya hapo ndio zamu ya placements inafika, ikitoka tu barua ziko tayari ndio maana kuchukua barua haichukui muda ni dk chache tu.

Kwa hiyo mnaosubiri placement inabidi mtambue hilo na subira ndio silaha ya kuishi nayo katika hicho chote

Nafikili kutokua na Technologia nzuri ndo chanzo cha hiki nowdays kuna electronic signature mfano unalipia control number ya police inatoka na signature ya IGP so hili pia linawezekana
 
Naona hizi ajira za mkataba mfupi kwa electrical technicians REA wanafanya interviews kikanda ,vipi ndio utaratibu mpya kwamba Sahili zote za utumishi zitakuwa zinapigwa kikanda au ni baadhi ya sahili tu ?,maana naona kuna zile za taasisi flani za serikali pia siku chache nyuma hapo kama sikosei zilipigwa kikanda .
Mwenye uhakika na hili jambo naomba majibu

Wingi wa waombaji ndio una determine pia
 
Sawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndugu uliye uaga ujobless
Hahahahaa, the process still going on.., ile furaha yako ya juzi ndio tunaisubiri sasa.

Halafu itafuatia ile furaha nyingine ya Atletico Madrid[emoji3]
 
Hahahahaa, the process still going on.., ile furaha yako ya juzi ndio tunaisubiri sasa.

Halafu itafuatia ile furaha nyingine ya Atletico Madrid[emoji3]
Mwifa ndugu yangu upoo? Naona hili jukwaa hubanduki hujapata kazi tu
 
Ulivyonisusa si bora nijichimbie huku[emoji3][emoji3]

Natembea majukwaa mengi, ila sijakuona kwa muda mrefu sana karibia mwaka, wewe ndio haupo
[emoji38][emoji38][emoji38]mbona hunitafuti hata kuniulizia? Na no zangu umepoteza
 
Back
Top Bottom